Makelele ya bandari yameishia wapi?

Makelele ya bandari yameishia wapi?

Tumehamishwa Ukraine tumepekwa gaza, Je mnazisikia za Ukraine siku hizi ? Akili kichwani mwako. Na hapa tulikuwa na makelele ya Chadema na waarabu ,ikawa mpaka pa kutia mguu hakuna kila kitu ni bandari.

Je Chadema walikuwa wanatafuta kiki? Na kutaka kuwaburuza waTanzania kuwa nchi inauzwa kwa waarabu ? Hiki Chama ni hatari sana waliwakusanya mapadre na mashee wasiojielewa na kupanga uasi wa kuhakikisha Raisi samia au serikali ya CCM inapinduliwa au kuangushwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.

ilivyo ilihitajika hiki Chama kufutwa mara moja,leo hii wachochezi wote wamechawanyika baada ya mbinu zao za kuiangusha serikali kupigwa na chini,mkichaa kakimbilia Ulaya,Balaa kafungua chama chake na kengeza yupo yupo tu.
CCM oyee.
Hebu tuambie zile kelele za umeme wa gas na kuwa Bomba la gas likifika Dar mgao wa umeme utakuwa ni historia. Naona kile chama kilichosema kuwa umeme wa maji matatizo ni mabadaliko ya tabia nchi Leo hii kimewekeza fedha kibao kwenye mradi wa maji, je hayo mabadiliko ya tabia nchi yamefika mwisho? Je baada ya Bomba la gas kufika hapa Dar mgao wa umeme umeisha? Hebu tupime hicho chama kinasimamia Nini?
 
Hivi kuna watu bado wanashabikia CCM baada ya mwendazake [emoji3]
 
Mwislam mtazania hana shida sababu washazoea kuishi na wakristo,sasa ukiimpa uyo mwarabu hutaajiriwa bandarin kama wewe siyo Muhammed, au asha n.k. si unaona hata kwenye mabasi yao,au taasisi zao yaan ni tatizo
Kuna mashirika kama World Vision kwenye interview unaulizwa vifungu vya biblia, Kabla ya kuanza kazi asubuhi mnafungua na maombi
 
Haina shida si mwawaona watz mazwazwa, twende tu
Wenye kuagiza bidhaa mbalimbali na kutumia ile bandari mwaka mzima wanapiga makofi na kuusifu huu uwekezaji unaokwenda kupandisha thamani ya TPA na kurudisha mamia ya wateja waliohama kwa sababu za urasimu na ufisadi.

Wapiga siasa wa humu JF ndio wanaolalamika bila hata ya kujua kwa kina wanalalamika nini.
 
Mwislam mtazania hana shida sababu washazoea kuishi na wakristo,sasa ukiimpa uyo mwarabu hutaajiriwa bandarin kama wewe siyo Muhammed, au asha n.k. si unaona hata kwenye mabasi yao,au taasisi zao yaan ni tatizo
ukimnyooshea mwezio kidole ni kimoja tu ila vitatu vimekuelekea wewe mumesha jitazama nyie mupo dhidi ya waislamu na sielewi wamewakosea nini ilivyo bahati mbaya waislamu hawana wiongozi wakuwatetea tafakari
 
Kuna mashirika kama World Vision kwenye interview unaulizwa vifungu vya biblia, Kabla ya kuanza kazi asubuhi mnafungua na maombi
Sasa lile ni shirika la kikristo linalotoa misaada,kwahiyo kwahiyo kwahiyo wakishapewa banda itakuwa shirika la kisilamu SIYO
 
ukimnyooshea mwezio kidole ni kimoja tu ila vitatu vimekuelekea wewe mumesha jitazama nyie mupo dhidi ya waislamu na sielewi wamewakosea nini ilivyo bahati mbaya waislamu hawana wiongozi wakuwatetea tafakari
Sijasema mwisilamu nimesema mwarabu soma comment vizur uelewe
 
Sasa lile ni shirika la kikristo linalotoa misaada,kwahiyo kwahiyo kwahiyo wakishapewa banda itakuwa shirika la kisilamu SIYO
World Vision nani kakudanganya linatoa misaada,? Yanatoa mikopo ya riba. Halina uhusiano na ukristo
 
Back
Top Bottom