Wanakuwa kama midoli si midoli yani mtu anajipiga makeup anakuwa kama kajipaka unga yani ni too much. Ila mimi kati ya vitu ambavyo sijawahi kuelewa kwenu akina dada, ni kunyoa nyusi halafu mkazichora kwa penseli. Wallah sijawahi kuelewa uwa mnamaanisha nini.Mimi naona Kuna Watu wanapaka makeup mpaka nashangaaa...Yaaani nawaza hichi kitu gani?
Au labda Ni macho Yangu tu...Yaaani unakuta mtu kapaka makeup badala ya kuehance beuty inakuwa tofauti
Kunawengine wanapendeza kweli....Lakini WENGINE hapana.View attachment 1625061View attachment 1625062
my next destination....@CreditAnalyst utanisameheIngia Kondoa Sehemu Inaitwa Mondo, Vitu Tele Shombe Shombe
Nikweli...kunawengine wanapendeza Sanaa...NA KUNA mamakeup Artis huwa hawakosei...Mimi km mwanaume nitasema jinsi navyoona kwa mtazamo wangu mimi..
Kuna makundi manne
1.wanapaka make up haziwapendezi sababu wame complicate mambo km huyo dada hasa wa kwanza.
2.wanapaka make up hlf wanakuwa km hawajapaka make up yaani make up zao zipo simple hazingβai sana kapaka km hajapaka hivi.Hawa uwaga wanapendeza tena sanaaaa
3.sura zao sio za make up yaani wao ni wazuri bila make up wakipaka unamuona km ndo kawa mbaya hivi kuliko alivyobaki bila make up
4.Sura zao bila make up hawapendezi hawa wanaitaji booster..m
Ninachoamini mimi wanawake wengi wanapendeza wakipaka make simple ila tukirudi mtaani wanaopaka simple ni wachache hence wapaka make up wengi hawapendezagi sababu hawapaki simpe simple,wanapania sana.
Hiyo ilikuwa style ya ZAMANI sanaaaa.....Kunawengine wanachora tattoo kwenye wanja...Yaani yeye ananyoa TU nyuzi zote zikiota anabaki na ile tattoo.Wanakuwa kama midoli si midoli yani mtu anajipiga makeup anakuwa kama kajipaka unga yani ni too much. Ila mimi kati ya vitu ambavyo sijawahi kuelewa kwenu akina dada, ni kunyoa nyusi halafu mkazichora kwa penseli. Wallah sijawahi kuelewa uwa mnamaanisha nini.
Upo Dodoma Toa Ushauri Wa Ufundi ππππ πNenda TU Mkuu..usihasahau kuja na kapicha kwa uthibitisho
3. NitaoaMimi km mwanaume nitasema jinsi navyoona kwa mtazamo wangu mimi..
Kuna makundi manne
1.wanapaka make up haziwapendezi sababu wame complicate mambo km huyo dada hasa wa kwanza.
2.wanapaka make up hlf wanakuwa km hawajapaka make up yaani make up zao zipo simple hazingβai sana kapaka km hajapaka hivi.Hawa uwaga wanapendeza tena sanaaaa
3.sura zao sio za make up yaani wao ni wazuri bila make up wakipaka unamuona km ndo kawa mbaya hivi kuliko alivyobaki bila make up
4.Sura zao bila make up hawapendezi hawa wanaitaji booster..m
Ninachoamini mimi wanawake wengi wanapendeza wakipaka make simple ila tukirudi mtaani wanaopaka simple ni wachache hence wapaka make up wengi hawapendezagi sababu hawapaki simpe simple,wanapania sana.
Paka Hata Masinzi Awamu Ya Tano HiiTOOO MUCH