Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Mimi naona kuna watu wanapaka makeup mpaka nashangaaa...Yaaani nawaza hichi kitu gani?
Au labda ni macho yangu tu...Yaaani unakuta mtu kapaka makeup badala ya kuehance beuty inakuwa tofauti.
Kuna wengine wanapendeza kweli....Lakini WENGINE hapana.
Au labda ni macho yangu tu...Yaaani unakuta mtu kapaka makeup badala ya kuehance beuty inakuwa tofauti.
Kuna wengine wanapendeza kweli....Lakini WENGINE hapana.