Makinda ashangaa wasomi wanaokula bure makwao

Makinda ashangaa wasomi wanaokula bure makwao

Tuache visingizio. Kijana yeyote awe msomi au la anatakiwa ajishughulishe, awe tayari kufanya kazi yoyote. Kitu kinachosumbua vijana wasomi ni jinsi jamii inavyowatazama na kuwahukumu. Kusimama majukwani na kuwabeza wasomi ni kuwaongezea msongo wa mawazo. Kwa mtazamo chanya Makinda anataka vijana wasomi wasibweteke- siku hizi ni vijana wachache sana wanapata kazi inayoendana na kozi waliyosomea. Wajitume zaidi, wahangaike mitaani- wajifunze mambo mapya ili kujipatia kipato- si rahisi, lakini msemo wa kiswahili wa penye nia pana njia mara nyingi unafanikiwa. Kazi yoyote itakuongezea "networking "- utafahamiana na watu wengi kuliko kukaa nyumbani.
Tupo ambao hatuchagui kazi ukweli ni kwamba izo kazi hazipo, hata ukiomba kibarua cha kubeba tofali utaambiwa nafasi hakuna, vijiwe vya kuosha magari, vibarua saidia fundi n.k hakuna chochote mkuu kila kitu ni connection, ukisema ulime hayo mashamba ya kuajiriwa yako wapo au eneo lisilokua na umiliki unafika unafyeka tu unalima liko wapi, vipi mbolea pembejeo wapi zinatolewa bure.. kama hauna wa kukushika mkono mtaani ni pagumu ndugu
 
Anna Makinda.......ipo siku tutakuja kufukua huu uzi kwa references ya vizazi vinavyo,.......muda utaamua
 
Back
Top Bottom