Makinda ashangaa wasomi wanaokula bure makwao

Makinda ashangaa wasomi wanaokula bure makwao

Unahesabiwa ili usimangawe (jokes).
===
Kuna shida kwenye mitaala yetu maneno ya Mama Makinda yapewe uzito unaostaili. Wahitimu wetu wanashindwa kutumia elimu waliyopata kujitengenezea sehemu za kujiingizia kipato. Hili ni tatizo (serious). Litatuliwe.
Elimu iboreshwe ili raia wajitambue vizuri?. Hujui kwa sisi watu weusi ujinga ni mtaji kwa wanasiasa ili waweze kutawala na kufanya ufisadi bila kuhojiwa na bado wakipita barabaran wanapigiwa shangwe.

Nikupe mfano mdogo tu, wabunge wengi wapiga kura wao ni watu wa hali ya chini kabisa. Na wengi hata uelewa wao na familia zao ni mdogo sana sababu ya kukosa elimu bora. Hii inapelekea kumpitisha mwakilishi huyo huyo hata kama hakuna jambo la maana analofanya.
 
Mm namshauri mama Makinda kwa kuwa yeye ni spika mstaafu na kamishna wa sensa 2022 ana pesa nyingi sana.
Awape hata pesa ya kununua wembe kwa kila kijana msomi anayekaa kwao bila kazi.
Hii itasaidia vijana kuwa smart na kutonuka makwapa na "ikulu" kutokana na mavuzi kujaa.
 
Ila yeye hajishangai miaka zaidi ya 50, yupo kwenye mfumo! Analipwa tu midhahara na podho nono akiwa kama bosi wa bima ya afya ya NHIF! Amekuwa mbunge tangu enzi za Nyerere! Mkuu wa Mkoa! Spika!

Bado mpaka leo anaendelea tu kutafuna hela za walipa kodi! Lini na yeue atatosheka? Ili na vijana nao wafaidi keki ya Taifa lao?
Toka naanza kuijua dunia yaani enzi za a, be ,che ,de, huyu maza yupo namsikia,mpk leo nna watoto na wajukuu huyu mtu yupo tu aisee huyu naona itafika siku ataamua kuondoka mwenyewe yaani km malikia Elizabeth.
Maana yuko chuma kweli kweli na huskii kuumwaumwa wala nini.
 
Elimu ni funguo wa maisha, mlango wa maisha upo wapi?kwamba Elimu sio ufunguo wa ajira!!Hawa mbwa wakisha Shiba, wanaona watoto wa watu wenye degree zao lakini wanaendesha boda boda, kama punguani vile?

watoto wa wakubwa, wakimaliza shule tu, wanaletwa nafasi za ajira nyumbani, nafasi za wizarani, mashirika ya umma, taasisi, mtoto wa maskini anaambiwa akajiandikishe ajira portal!
Kwenye kundi la wabunge wa ea, waliochaguliwa, Kuna watoto wa vigogo, kwanza walikuwa nje kwenye balozi, walianza kazi wizarani baada ya kutoka vyuoni tu!

Yaani nikisikia Hawa wazee kizazi Cha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, wanaongea hizi pumba, nahisi kutapika kabisa
🤣🤣🤣
 
Cha ajabu wasomi uchwara watakuja kumshambulia hapa, kijana ana nguvu zake na ni msomi ila hafanyi chochte analala tu kama demu na kusubiri msosi wa shikamoo..
Mkuu wengi wapo hivyo nashukuru mungu nilipomaliza chuo nilitafuta ajiraikawa ngumu namsuukuru mungu nilianza kupambana nikaachana na kutembea na bahasha ya kaki
 
Cha ajabu wasomi uchwara watakuja kumshambulia hapa, kijana ana nguvu zake na ni msomi ila hafanyi chochte analala tu kama demu na kusubiri msosi wa shikamoo..
Shukuru Mungu wako, achana na madharau jombaa.
Tunapiga kazi mwisho unaambulia 20,000. Kazi imeisha, unapambana kupata nyingine tayari mpaka wiki inaisha, ka 20k kamekata mpaka mtu anakosa nauli.
 
Mm namshauri mama Makinda kwa kuwa yeye ni spika mstaafu na kamishna wa sensa 2022 ana pesa nyingi sana.
Awape hata pesa ya kununua wembe kwa kila kijana msomi anayekaa kwao bila kazi.
Hii itasaidia vijana kuwa smart na kutonuka makwapa na "ikulu" kutokana na mavuzi kujaa.
Hilo limemfikia mkuu🙏🙏
 
"Dk Batilda amesema awali walikadiria kuhesabu kaya 490,000 lakini hasa wanakamilisha walihesabu kaya 577,128 sawa na asilimia 118."

Aliyekuwa akiongea hayo matamshi ni mkuu wa mkoa wa Tabora, hivyo takwimu hizo ni za mkoa wa Tabora pekee...
Watu wengi hawasomi kilichoandikwa.
 
Wakati kilio cha watu kukosa ajira hasa kwa vijana kikiendelea kushika kasi, Kamisaa wa Sensa Tanzania Bara, Anne Makinda, amesema kuna idadi kubwa ya wasomi wanaoishi kwa wazazi wao wakila bure kwa kutotaka kufanya shughuli za kuingizia kipato.

Makinda ametoa kauli hiyo leo ijumaa, Septemba 23, 2022 ambapo amesema jambo hilo halifurahishi kwa sababu elimu anayopata mtu anatakiwa aitumie kupambana na mazingira.

"Tumeambiwa kuwa elimu ni ufunguo wa maisha na wala sio ufunguo wa ajira, watu wanahangaika kila kukicha kusaka ajira" amesema

Kamisaa Makinda amesema idadi ya watu inazidi kuongezeka kila kukicha na mbaya zaidi wengi hawafanyi kazi.

“Ni jambo la kushangaza kuona wasomi hawapendi kujishughulisha na vitu vya kuwaingizia kipato, hawafanyi hata biashara wakati wasiosoma wanafanya shughuli za kuingiza kipato” amesema.

Ameongeza kuwa Sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwezi uliopita itasaidia kupatikana kwa takwimu zitakazotumika kutunga sera mbalimbali.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Dk Batilda Burian, alimweleza Makinda kuwa makarani wa sensa wawili walifariki mkoani humo ambapo mmoja alijiua kutokana na matatizo ya kifamilia na mwingine alifariki akiwa katika nyumba ya wageni aliyofikia baada ya mafunzo ya siku 21.

Amesema mwingine alijeruhiwa baada ya kupata ajali wakati akienda kutuma taarifa za Sensa na mguu wake kushoto kusagika na hivyo kukatwa na hivi sasa wanafanya utaratibu wa kumtafutia mguu wa bandia.

Dk Batilda amesema awali walikadiria kuhesabu kaya 490,000 lakini hasa wanakamilisha walihesabu kaya 577,128 sawa na asilimia 118.

Chanzo: Mwananchi
Aache yeye kazi ili sisi vijana wasomi tuchukuwe nafasi yake.Yeye hana mtoto aliyekosa ajira.
 
Ipo siku watafanikiwa tu ila kwa sasa tukazanie swala la katiba mpya.
 
Kwan ye anaumia nini,km kaz hamna acha wale bure, wanasiasa wanapenda sana kuwasimanga vijana wasio na ajira especially wasomi,wakijinyonga kwa stress za masimango ndo furaha yao
 
Elimu ni funguo wa maisha, mlango wa maisha upo wapi?kwamba Elimu sio ufunguo wa ajira!!Hawa mbwa wakisha Shiba, wanaona watoto wa watu wenye degree zao lakini wanaendesha boda boda, kama punguani vile?

watoto wa wakubwa, wakimaliza shule tu, wanaletwa nafasi za ajira nyumbani, nafasi za wizarani, mashirika ya umma, taasisi, mtoto wa maskini anaambiwa akajiandikishe ajira portal!
Kwenye kundi la wabunge wa ea, waliochaguliwa, Kuna watoto wa vigogo, kwanza walikuwa nje kwenye balozi, walianza kazi wizarani baada ya kutoka vyuoni tu!

Yaani nikisikia Hawa wazee kizazi Cha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, wanaongea hizi pumba, nahisi kutapika kabisa
Ni wasenge wasiokua na maana
 
Usisubiri serikali ikuajili, kawe hata machinga...
Na ndo maana kasema wasiosoma wanajishughulisha, waliosoma wanakula bure ie kama wewe
Nilishastaafu miaka kadhaa iliyopita japo sijapata uteuzi kama hao wenzetu wanaokosoa pasipo kutafiti tatizo lipo wapi. Rekebisha hapo chini.
 
Wakati kilio cha watu kukosa ajira hasa kwa vijana kikiendelea kushika kasi, Kamisaa wa Sensa Tanzania Bara, Anne Makinda, amesema kuna idadi kubwa ya wasomi wanaoishi kwa wazazi wao wakila bure kwa kutotaka kufanya shughuli za kuingizia kipato.

Makinda ametoa kauli hiyo leo ijumaa, Septemba 23, 2022 ambapo amesema jambo hilo halifurahishi kwa sababu elimu anayopata mtu anatakiwa aitumie kupambana na mazingira.

"Tumeambiwa kuwa elimu ni ufunguo wa maisha na wala sio ufunguo wa ajira, watu wanahangaika kila kukicha kusaka ajira" amesema

Kamisaa Makinda amesema idadi ya watu inazidi kuongezeka kila kukicha na mbaya zaidi wengi hawafanyi kazi.

“Ni jambo la kushangaza kuona wasomi hawapendi kujishughulisha na vitu vya kuwaingizia kipato, hawafanyi hata biashara wakati wasiosoma wanafanya shughuli za kuingiza kipato” amesema.

Ameongeza kuwa Sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwezi uliopita itasaidia kupatikana kwa takwimu zitakazotumika kutunga sera mbalimbali.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Dk Batilda Burian, alimweleza Makinda kuwa makarani wa sensa wawili walifariki mkoani humo ambapo mmoja alijiua kutokana na matatizo ya kifamilia na mwingine alifariki akiwa katika nyumba ya wageni aliyofikia baada ya mafunzo ya siku 21.

Amesema mwingine alijeruhiwa baada ya kupata ajali wakati akienda kutuma taarifa za Sensa na mguu wake kushoto kusagika na hivyo kukatwa na hivi sasa wanafanya utaratibu wa kumtafutia mguu wa bandia.

Dk Batilda amesema awali walikadiria kuhesabu kaya 490,000 lakini hasa wanakamilisha walihesabu kaya 577,128 sawa na asilimia 118.

Chanzo: Mwananchi
Alishawahi kujiajiri huyu Msimbe?
 
Wakati kilio cha watu kukosa ajira hasa kwa vijana kikiendelea kushika kasi, Kamisaa wa Sensa Tanzania Bara, Anne Makinda, amesema kuna idadi kubwa ya wasomi wanaoishi kwa wazazi wao wakila bure kwa kutotaka kufanya shughuli za kuingizia kipato.
Serikali inastahili lawama kwa upande fulani, huvi majuzi kumeingizwa aageni kuja kufanya kazi ambazo wasomi wa kitanzania wangeweza kufanya, mathalani kuna waarabu wapo Njombe kuanzisha mashamba ta parachichi wakati serikali ingewapa mikopo yenye masharti nafuu graduates wa SUA na vyuo vingine vya kilimo ili wajikite huko badala ya kuingiza waarabu kuanzisha mashamba hayo
 
Back
Top Bottom