Makinda ashangaa wasomi wanaokula bure makwao

Makinda ashangaa wasomi wanaokula bure makwao

Hivi mimi ndo sijui kuzidisha??

kaya 577,000× 5(wastani wa wanakaya)=2,850,000

kwo kwa haraka tuna watu 2850000 tu??
Uwe unasoma na kumaliza, hiyo ni hesabu ya Tabora, imetolewa na Batrida ambaye ni MMkoa wa Tabora
 
Ee Myezi Mungu wafanyie wepesi wasomi wote wanaodhalilika kwa kosa ajira, waepushe na masimango wape ujasiri wa kutokujiunga na uhalifu na wajalie afya imara. Amen
Tuamka tufanye kazi, tuache lalama
 
Cha ajabu wasomi uchwara watakuja kumshambulia hapa, kijana ana nguvu zake na ni msomi ila hafanyi chochte analala tu kama demu na kusubiri msosi wa shikamoo..
Na wengi ndo tulivyo
 
Mwenye shibe jamjui mwenye njaa. Mwenzetu keshastaafu, analipwa 80% ya mshahara wa Spika aliyepo. Ni mwenyekiti katika sehemu nyingi Tu ambapo analipwa vizuri.

Vijana anaowasema wapo kwa Wazazi hawapendi kufanya hivyo. Laiti wangepata nafasi kama hao viongozi wengi walioataafu hupewa wangeshatoka nyumbani kwa Wazazi wao.

Si vizuri kuwasakama kwa Hilo Ila awape moyo katika kutafuta maisha kwenye kipindi hiki kigumu.
Usisubiri serikali ikuajili, kawe hata machinga...
Na ndo maana kasema wasiosoma wanajishughulisha, waliosoma wanakula bure ie kama wewe
 
Yeye mwenyewe amefeli io sensa [emoji23][emoji23]. Mwezi mzima hajatupatia idadi ya watu. Wanakusanya na tablets ilitakiwa idadi ipatikane in real time
Sensa inahitaji kuchakata data
 
Ana uhakika gani kuwa mfumo wa elimu yetu unawasaidia vijana wajiajiri, hiyo mitaji amewapa? Anadhani kuna mtu anapenda kukaa tu kwa mzazi aendelee kuwa mzigo,,,,, Marehemu Hamza ilibidi angepita na watu kama hawa angewaacha police
Hao wengine mitaji wamepata wapi?
 
wasomi ni watu wa aina gani? yaweza kuwa mm siwajui
 
Elimu ni funguo wa maisha, mlango wa maisha upo wapi?kwamba Elimu sio ufunguo wa ajira!!Hawa mbwa wakisha Shiba, wanaona watoto wa watu wenye degree zao lakini wanaendesha boda boda, kama punguani vile?

watoto wa wakubwa, wakimaliza shule tu, wanaletwa nafasi za ajira nyumbani, nafasi za wizarani, mashirika ya umma, taasisi, mtoto wa maskini anaambiwa akajiandikishe ajira portal!
Kwenye kundi la wabunge wa ea, waliochaguliwa, Kuna watoto wa vigogo, kwanza walikuwa nje kwenye balozi, walianza kazi wizarani baada ya kutoka vyuoni tu!

Yaani nikisikia Hawa wazee kizazi Cha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, wanaongea hizi pumba, nahisi kutapika kabisa
Kweli kabisa mkuu
 
Huyo maza na domo limekaa upande Kama nanii ya mbuzi mpuuzi kashiba anaropoka tuu sensa yenyewe nimekosa mbwa tuu huyo tamisemi course yangu bedadec hawataki kuniajiri mbwa tuu
 
Back
Top Bottom