HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kaongea ukwelialiyeshiba hamjui mwenye njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaongea ukwelialiyeshiba hamjui mwenye njaa
hahahaULE ULE UGUMU WA KUPATA AJIRA, NDIO HIVYO HIVYO WA KUPATA BWANA
Uwe unasoma na kumaliza, hiyo ni hesabu ya Tabora, imetolewa na Batrida ambaye ni MMkoa wa TaboraHivi mimi ndo sijui kuzidisha??
kaya 577,000× 5(wastani wa wanakaya)=2,850,000
kwo kwa haraka tuna watu 2850000 tu??
Tuamka tufanye kazi, tuache lalamaEe Myezi Mungu wafanyie wepesi wasomi wote wanaodhalilika kwa kosa ajira, waepushe na masimango wape ujasiri wa kutokujiunga na uhalifu na wajalie afya imara. Amen
Na wengi ndo tulivyoCha ajabu wasomi uchwara watakuja kumshambulia hapa, kijana ana nguvu zake na ni msomi ila hafanyi chochte analala tu kama demu na kusubiri msosi wa shikamoo..
Usisubiri serikali ikuajili, kawe hata machinga...Mwenye shibe jamjui mwenye njaa. Mwenzetu keshastaafu, analipwa 80% ya mshahara wa Spika aliyepo. Ni mwenyekiti katika sehemu nyingi Tu ambapo analipwa vizuri.
Vijana anaowasema wapo kwa Wazazi hawapendi kufanya hivyo. Laiti wangepata nafasi kama hao viongozi wengi walioataafu hupewa wangeshatoka nyumbani kwa Wazazi wao.
Si vizuri kuwasakama kwa Hilo Ila awape moyo katika kutafuta maisha kwenye kipindi hiki kigumu.
Wewe naye nenda kafanye ufisadi uone kama kazi rahisiAlitaka tuende tukale kwake? Mbona yeye hakufanya shughuli yoyote zaidi ya ufisadi tu.
Alichosema ni kweliYeye hajishangai kuwa na Post 3 za uteuzi wakati ilitakiwa awe amestaafu analea wajukuu? Viongozi wawe wanatafakari kabla ya kuongea
Kaongea ukweliNi speaker mstaafu anapata 80% ya stahiki za Spika aliyeko,ni Mwenyekiti wa NHIF iliyofilisika na ni kamisaa wa sensa na upuuzi mwingine..
Majitu kama haya yasiwe yanathubutu hata kunyanyua midomo yao.
Sensa inahitaji kuchakata dataYeye mwenyewe amefeli io sensa [emoji23][emoji23]. Mwezi mzima hajatupatia idadi ya watu. Wanakusanya na tablets ilitakiwa idadi ipatikane in real time
Bado tatizo lako ni kubwaOk nimewasahau wanafunzi wa boarding,kambini na gerezani lakini hizi kaya bado nnawasiwasi!!
Hao wengine mitaji wamepata wapi?Ana uhakika gani kuwa mfumo wa elimu yetu unawasaidia vijana wajiajiri, hiyo mitaji amewapa? Anadhani kuna mtu anapenda kukaa tu kwa mzazi aendelee kuwa mzigo,,,,, Marehemu Hamza ilibidi angepita na watu kama hawa angewaacha police
Hela ndo muhimu, hayo mengine sio muhimuAnna Makinda asiwaumize kichwa, hapo alipo hana MUME wala MTOTO mishahara na posho zake zote zinaishia kwa SANGOMA/WAGANGA WAKIENYEJI.
Ukweli upi Kaongea?Kaongea ukweli
Kwamba tuache lala, tuamke tutafuteUkweli upi Kaongea?
Hiyo ni kwa mkoa wa Tabora na si nchi nzima kama sijakosea kumuelewa.Hivi mimi ndo sijui kuzidisha??
kaya 577,000× 5(wastani wa wanakaya)=2,850,000
kwo kwa haraka tuna watu 2850000 tu??
Kweli kabisa mkuuElimu ni funguo wa maisha, mlango wa maisha upo wapi?kwamba Elimu sio ufunguo wa ajira!!Hawa mbwa wakisha Shiba, wanaona watoto wa watu wenye degree zao lakini wanaendesha boda boda, kama punguani vile?
watoto wa wakubwa, wakimaliza shule tu, wanaletwa nafasi za ajira nyumbani, nafasi za wizarani, mashirika ya umma, taasisi, mtoto wa maskini anaambiwa akajiandikishe ajira portal!
Kwenye kundi la wabunge wa ea, waliochaguliwa, Kuna watoto wa vigogo, kwanza walikuwa nje kwenye balozi, walianza kazi wizarani baada ya kutoka vyuoni tu!
Yaani nikisikia Hawa wazee kizazi Cha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, wanaongea hizi pumba, nahisi kutapika kabisa