junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 978
Hawa ndio makinda wanaotabiriwa kufanya makubwa mbeleni
1. CYPRIAN KACHWELE
Amezaliwa November 2007 ana miaka 15 ni mshambuliaji aliyekulia kwenye academy ya Azam na anayefanya vizuri kwenye kikosi Cha Azam na anayetazamiwa kuwa rashford wa Azam.
3.CLEMENT MZIZE
Ni mshambuliaji wa yanga kinda aliyefanya vizuri na amekuwa surprise kwa mashabiki na wapenzi wa yanga.Clement Mzize amezaliwa mwaka 2003 ana miaka 19 ana miaka mingi mbeleni kukuza kiwango chake.
View attachment 2554333
1. CYPRIAN KACHWELE
Amezaliwa November 2007 ana miaka 15 ni mshambuliaji aliyekulia kwenye academy ya Azam na anayefanya vizuri kwenye kikosi Cha Azam na anayetazamiwa kuwa rashford wa Azam.
3.CLEMENT MZIZE
Ni mshambuliaji wa yanga kinda aliyefanya vizuri na amekuwa surprise kwa mashabiki na wapenzi wa yanga.Clement Mzize amezaliwa mwaka 2003 ana miaka 19 ana miaka mingi mbeleni kukuza kiwango chake.
View attachment 2554333