Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kisa cha wanandoa walioachanishwa kisheria wiki hii baada ya kuishi pamoja kwa miaka 21 kimenitafakarisha sana... Tatizo sio kuachana bali ni sababu za kuachana
Mwanaume hakuwa na korodani (lugha isiyovaa nguo korodani ni pumbu) hizi ndio kiwanda cha manii zinazoleta malighafi ya kuumba watoto
Bila manii hakuna msisimko wa ngono
Bila manii hakuna ashiki inayoleta hisia za kuwa na mwenza
Ni afadhali kidogo uwe na 'low sperm count lakini si kukosa kabisa...!!
Kisa cha leo ni cha ajabu kwakuwa tunaambiwa hawajawahi kufanya ngono kwa miaka 18 ndani ya miaka 21 ya ndoa....kuna maswali muhimu hapa
Je walioana jamaa akiwa hana korodani? Mlemavu wa kukosa korodani
Je hiyo miaka mitatu ndani ya miaka 21 ya ndoa walingonoka?
Maswali ni mengi sana...lakini kama alikuwa hana korodani tangu mwanzo mwanamke alikubalije ndoa? Huu ulemavu ni wa aina yake..!!!
Inawezekana kuna kitu kilitokea hapo katikati kilichotembea na kiwanda cha kuzalisha malighafi za kufyatua watoto..
Wakati tunaendelea kutafakari haya niwape kisa kimoja
Jamaa mmoja akiwa kwenye ndoa kwa miaka mitano hivi alishikwa tamaa akatembea na mwanafunzi kipindi kile cha Maumba
Kesi ikaenda mahakamani lakini kwa upendo mkuu mume asifungwe mke akatafuta mganga
Mganga akasema anaweza kuzipoteza nyeti za jamaa ili ushahidi uthibitishe kuwa jamaa hana nyeti hivyo hawezi kubaka...
Siku ya hukumu kwenye utetezi mganga akafanya yake kilingeni... Jamaa akajitetea kuwa hana nyeti hivyo hawezi kubaka ...Alipotakiwa kuithibitishia mahakama pasi kuacha shaka jamaa alichojoa gagulo lake na kuonekana flat kabisa ana kitobo tu cha haja ndogo
Mahakama ikajiridhisha na ushahidi na kumwachia huru... Wanafamilia wakafurahi na kumchukua baba waende kwa mganga akarudishe mashine
Kufika kwa mganga wanakuta turubai... Mganga kafa kifo cha ghafla....[emoji2957][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Najaribu kulinganisha hivi visa viwili na masharti ya mganga....!!!!
Mwanaume hakuwa na korodani (lugha isiyovaa nguo korodani ni pumbu) hizi ndio kiwanda cha manii zinazoleta malighafi ya kuumba watoto
Bila manii hakuna msisimko wa ngono
Bila manii hakuna ashiki inayoleta hisia za kuwa na mwenza
Ni afadhali kidogo uwe na 'low sperm count lakini si kukosa kabisa...!!
Kisa cha leo ni cha ajabu kwakuwa tunaambiwa hawajawahi kufanya ngono kwa miaka 18 ndani ya miaka 21 ya ndoa....kuna maswali muhimu hapa
Je walioana jamaa akiwa hana korodani? Mlemavu wa kukosa korodani
Je hiyo miaka mitatu ndani ya miaka 21 ya ndoa walingonoka?
Maswali ni mengi sana...lakini kama alikuwa hana korodani tangu mwanzo mwanamke alikubalije ndoa? Huu ulemavu ni wa aina yake..!!!
Inawezekana kuna kitu kilitokea hapo katikati kilichotembea na kiwanda cha kuzalisha malighafi za kufyatua watoto..
Wakati tunaendelea kutafakari haya niwape kisa kimoja
Jamaa mmoja akiwa kwenye ndoa kwa miaka mitano hivi alishikwa tamaa akatembea na mwanafunzi kipindi kile cha Maumba
Kesi ikaenda mahakamani lakini kwa upendo mkuu mume asifungwe mke akatafuta mganga
Mganga akasema anaweza kuzipoteza nyeti za jamaa ili ushahidi uthibitishe kuwa jamaa hana nyeti hivyo hawezi kubaka...
Siku ya hukumu kwenye utetezi mganga akafanya yake kilingeni... Jamaa akajitetea kuwa hana nyeti hivyo hawezi kubaka ...Alipotakiwa kuithibitishia mahakama pasi kuacha shaka jamaa alichojoa gagulo lake na kuonekana flat kabisa ana kitobo tu cha haja ndogo
Mahakama ikajiridhisha na ushahidi na kumwachia huru... Wanafamilia wakafurahi na kumchukua baba waende kwa mganga akarudishe mashine
Kufika kwa mganga wanakuta turubai... Mganga kafa kifo cha ghafla....[emoji2957][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Najaribu kulinganisha hivi visa viwili na masharti ya mganga....!!!!