Makinika na masharti ya waganga wa kienyeji

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii stori ya kusadikika tu mzee
 
Mahakamani hamna hiyo procedure ya kuvua nguo,
Kama lingetokea hilo angeenda hospitali na ripoti ya daktari ndo ingwonyesha jamaa hana via vya kiume.
Pia nivizuri kukumbuka kuna biological impotent na legal impotent.

Ila ujumbe tumeupata Mzee wetu.
 
Mahakamani hamna hiyo procedure ya kuvua nguo,
Kama lingetokea hilo angeenda hospitali na ripoti ya daktari ndo ingwonyesha jamaa hana via vya kiume.
Pia nivizuri kukumbuka kuna biological impotent na legal impotent.

Ila ujumbe tumeupata Mzee wetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545] zamani kulikuwa na chumba nyuma ya mahakama cha kuthibitisha mbele ya hakimu na daktari na mshtaki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545] zamani kulikuwa na chumba nyuma ya mahakama cha kuthibitisha mbele ya hakimu na daktari na mshtaki
Kwamba victim anaambiwa ademonstrate aliingiliwaje😂😂😂😂😂
 
Kwamba victim anaambiwa ademonstrate aliingiliwaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh hii kali [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapana nilimaanisha kama zipo au hazipo[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Mada maalum kwa wanandoa
 
Hio miaka 18 mwanamke atakuwa alikuwa anatumia mbinu za medani..

Mapenzi uFalla sana
 
Haya maswali huwa wanauliza wanasheria mahakani ni ya kuudhi lakini ya msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…