Uelewa wako mdogo.Ulokole una uraibu wa ajabu sana
Nina ishi huko
Mojawapo ya vitu ambavyo walokole wanatakiwa wasaidiwe waachane navyo ni ujinga
Etii tusifuge mbwa wala paka mwishoni utatuambia tusifuge pia ng'ombe na mbuzi
KKu
Ni Kweli, hata kichaa anayeokota makopo barabarani huwaona wasiookota makopo ndo vichaa wasojali usafi.Hizi dini zinawafanya kuwa vichaa sisi tulio nje ya box tunawazoom tu na kucheka kimyakimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko mwilini, Mimi naongelea Rohoni,Kwa hili bandiko jamaa anaenda kufukuza mke na watoto
Before the 16th Century coming of missionaries.My grandfather was a Pastor.
Hizo BANGE tuwaachie ninyi walinzi wetu,Unajifukisha mapema kama vile kinga..
Babu Yako ni ADAM NA HAWA.Before the 16th Century coming of missionaries.
Babu zetu walikuwa hawaoi? Zilikuwa si ndoa Takatifu?
Unaweza thibitisha babu yangu ni ADAM na HAWA?Babu Yako ni ADAM NA HAWA.
Karibu.
Nijikite kwenye mada kwani sasa hivi siko kwenye mada?Jikite kwenye mada.
Halafu kama kitu hukielewi au kukiamini, usitake Kila mtu afikiri na kuamini sawasawa na unavyoamini.
Hujalazimishwa kusoma thread, wapo watakaosaidika wasomapo ujumbe huu ambao umenyooka.
Ubarikiwe.
UFUNUO 21:8Imani za kishirikina zimetamalaki! Kama usipokuwa makini kila kitu utaona kina uchawi! Hebu Kwanza kabla ya kuendelea kujadili hili swala,unaweza kudhibitisha uchawi upo bila ya Shaka yeyote?
Soma Genesis chapter 1&2.Unaweza thibitisha babu yangu ni ADAM na HAWA?
Kulipa FUNGU la kumi ni Amri.Dini zimekuja kuwatia ujinga Waafrica badala ya kuwakombowa.
Hizi illusion zitafikia hadi huyo mkeo utamuona ni pepo.
Anyway usisahau kupeleka fungu la 10 kwa Mtumishi wa Mungu mwakani anahitaji abadiri gari, Prado itampendeza zaidi, halafu wewe utakuwekea mikono kukuombea.
Weka ulinzi wa Mungu kupitia Malaika wake.Mbwa hapana. Mbwa kapewa binadamu kama mlinz wa fiscally things na spiritual thing's hasa usiku. Mbwa ana uwezo wa kuona jini na kubweka
Ili uwe mlokole yakupasa uwe kama lokole (Juma).Kuokoka ni kurudisha uhusiano na Mungu kupitia Yesu ambaye ni MUNGU aliyekuja katika mwili wa mwanadamu Ili kuuokoa Ulimwengu.
Kuokoka ni Kuzaliwa mara ya pili na kubatizwa Kwa ubatizo wa moto wa Roho mtakatifu.
Kuokoka ni kupewa nafasi ya kuitwa mwana wa Mungu.
Kuokoka ni kumkiri Yesu Kristo kuwa ni BWANA na Mwokozi wa maisha Yako.
Kuokoka ni kuishi maisha ya utakatifu.
Amen
Mtoa mada kilaza mwenzio huyu hapaKufuga kuku??? Mjini ukiona mtu kafuga kuku alafu anawafungulia kwenda kwa majirani huyo ni mchawi! Kuku ni nyumba za mashetani hasahasa mizimu!
Muulize hao ADAM na HAWA walifunga ndoa kanisa Gani?Unaweza thibitisha babu yangu ni ADAM na HAWA?
Avater uliyoweka hapo pichani inajieleza u mtu wa aina Gani.Ili uwe mlokole yakupasa uwe kama lokole (Juma).
Wewe ni mpumbavu. Vinginevyo kaite walokole wengine waje kutushawishi.
Wewe jamaa kwenye paka unanikosea tena sana embu tulia kwanza ule ushibe alafu hariri ulichoandika rafiki yanguJikite kwenye mada.
Mifugo wakae bandani, hakikisha hakuna panya ndani Ili ikosekane sababu ya kufuga paka.
Narudia, wafuga paka wengi wao ni witches.
Najua najitafutia vita, siogopi sababu nimeshazoea. Yesu wangu ana nguvu kuliko wao.
Waliookoka, wanaoshambuliwa sababu ni threat Kwa utawala wa Giza, dini zingine wale wa nyota na mwezi, wanayafuga na kuyaabudu, hayana sababu kuwashambulia.
mkuu RabbonSoma Genesis chapter 1&2.
HALLELUJAH [emoji41]Avater uliyoweka hapo pichani inajieleza u mtu wa aina Gani.
Mimi nakubariki, nakuombea ubarikiwe.
Amen