Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

Ndio maana nasema nyinyi warokole mna mambo ya ajabu na wengi hamna akili.

Mungu kaumba wanyama mbali mbali na kila mnyama ameubwa kwa kazi maalumu , mbwa wapo wa aina nyingi wapo mbwa kwa ajili ya ulinzi hao ndo wanao kaa bandani ,na tupo tumbwa tudogo twenye manyoya mengi ya kuvutia tunatakiwa kukaa ndani kama pambo la nyumba.

Paka kaubwa kwa ajili ya kukabiliana na wanyama wadogo waaribifu kama panya, nyoka na popo ambao wote wanapenda kukaa ndani sasa paka asipo kaa ndani hao wanyama waaribifu atawadhibitije?

Ulipo jionesha ya kuwa huna akili ni pale ulipo sema eti paka ni wachawi , paka sio wachawi bali wana weza kutumiwa na wachawi kutimiza matakwa yao kitu ambacho wanaweza kufanya hata kwa huyo kuku uliye sema nimfuge.

Mchawi kama amedhamilia kukudhuru ahitaji paka wala mbwa bali ana uwezo wa kumutumia hata huyo mkeo au watoto wako ulio wazaa mwenyewe kukudhuru sasa sijui hapo na penyewe uwashauri watu waache kuowa na kuzaa watoto maana wanaweza kutumiwa na mapepo kukudhuru.
Kwa hili bandiko jamaa anaenda kufukuza mke na watoto
 
Salaam, Shalom!!

UTANGULIZI.

Ndani ya nyumba zetu, Pana mijusi yenye RANGI nyeupe tofauti na mijusi wa nje. Na KAZI ya mijusi KIMWILI Huwa ni kutafuta na kula WADUDU watambaao na warukao nk nk.

MADA: MAKINIKA NA MIJUSI/ UPANDE WA PILI WA MIJUSI YA NDANI YA NYUMBA.

Kuna mjusi alikuwa akiishi ndani ya nyumba yetu, na tulimchukulia kawaida tu kama mijusi wengine. Tukiwa sebuleni utamuona juu katulia tulii anatuangalia,

Tukiingia chumbani, yupo, Kuna time tulitilia mashaka ,lakini sababu hatukuwa na HAKIKA kuwa Si mjusi wa kawaida, tulipuuza.

Siku moja tumelala, usiku, nikajikuta kwenye vita kubwa sana katika Roho, nilikuwa napambana na mijusi wakubwa sana, mijusi giant ambao nilikuwa napambana nao Hadi JASHO linanitoka,

Nilikuwa nakemea, Kwa Jina la YESU, Damu ya Yesu, vita ilikuwa Kali sana, nilijiuliza kwanini Leo vita imekuwa Kali sana tofauti na vita za siku zingine, niliemdelea kukemea.

Nikiwa katika vita nikashtuka na kuamka, kumbe, mke wangu pia alikuwa akipambana vita kama yangu nae aliposhtuka tukaanza kuulizana nini kilikuwa kinatokea,

Tulijiuliza labda ni wachawi walikuwa wametuvamia, tulipowasha taa, tulishangaa sana kumkuta mjusi ambaye alikuwa akikaa juu ya dari, ameingia ndani ya neti yetu ametulia pembeni mwa Kuta ya Net. Baada ya kumvizia tumuue, alituponyoka na kukimbia.

Tangu siku hiyo, Niko makini sana na mijusi wa aina hiyo ndani ya nyumba na WADUDU wenye kutilia mashaka sababu mijusi wanaweza kutumiwa kama Antenna za kichawi. Yaani unarushiwa makombora Toka kuzimu kupitia mjusi au paka au mbwa au mdoli uliyenunua au kumfuga mwenyewe!!

Pia mijusi ndani ya nyumba wanaweza kukaribisha mapepo ambayo yanaweza kushambulia kupitia mwili wa mjusi.

Pepo halina mwili, hivyo likipata mdoli au kinyago ndani ya nyumba Yako, hupata Mahali pa kukaa na kukushambulia Kwa karibu na nguvu zaidi. Vita ya Wana wa Mungu ni katika Ulimwengu wa Roho, Vita zetu huanzia Rohoni kabla ya kuja mwilini.

SOLUTION.

1. Hakikisha huweki vinyago, midoli ndani ya nyumba. Mapepo yanaweza kuingia ndani ya vinyago na ukapata vita direct Kutokea vitu hivyo.

2. Acha mara Moja kufuga paka na kuishi naye ndani ya nyumba, paka au mbwa, Pepo anaweza kuwaingia na akawatumia kukuattack.

3. Puliza dawa ya kuua mijusi na WADUDU ndani ya nyumba, maana nyumba ya kuishi haipasi kuwa makazi ya chawa, mende, kunguni, viroboto, mijusi ,panya nk nk.

NB: Si mijusi wote ni kama niliyepambana nae Mimi, ni kukupa tu tahadhari kutokupuuzia mambo!!

ANGALIZO: Usilale bila kufanya maombi, funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu, zungusha ulinzi katika anga lako na ardhi unayomiliki.

Ikiwa hujaokoka fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. Amen


Mungu akubariki.

Amen
Mbwa hapana. Mbwa kapewa binadamu kama mlinz wa fiscally things na spiritual thing's hasa usiku. Mbwa ana uwezo wa kuona jini na kubweka
 
Jikite kwenye mada.

Mifugo wakae bandani, hakikisha hakuna panya ndani Ili ikosekane sababu ya kufuga paka.

Narudia, wafuga paka wengi wao ni witches.

Najua najitafutia vita, siogopi sababu nimeshazoea. Yesu wangu ana nguvu kuliko wao.

Waliookoka, wanaoshambuliwa sababu ni threat Kwa utawala wa Giza, dini zingine wale wa nyota na mwezi, wanayafuga na kuyaabudu, hayana sababu kuwashambulia.
Pumbavu
 
Jikite kwenye mada.

Mifugo wakae bandani, hakikisha hakuna panya ndani Ili ikosekane sababu ya kufuga paka.

Narudia, wafuga paka wengi wao ni witches.

Najua najitafutia vita, siogopi sababu nimeshazoea. Yesu wangu ana nguvu kuliko wao.

Waliookoka, wanaoshambuliwa sababu ni threat Kwa utawala wa Giza, dini zingine wale wa nyota na mwezi, wanayafuga na kuyaabudu, hayana sababu kuwashambulia.
Kwa hiyo ww una akili kumzidi Mungu aliye waumba hao paka?
Alafu kwann akomalie paka tu hali yakuwa nimesha kwambia kuwa mchawi anaweza kutumia mnyama wa aina yeyote na hata watu wako unao ishi nao ndani kwako?

Ww kama huwapendi paka ni ww na ni haki yako lakini isiwe sababu ya kuwapazia ubaya wasio kuwa nao.

Nimesha kwambia kuna wanyama maalum kwa ajili ya kukaa kwenye mabanda na wengine hawajaubwa kukaa kwenye mabanda.

Paka sio mnyama aliye umbwa kwa ajili ya kukaa ndani ya banda bali ni mnyama aliye umbwa kuwa huru na kuingia popote anapo pataka na ndio maana ana asili ya usafi.

Usishangae huyo mkeo ndo mchawi mwenyewe na hayo mauza uza yanayo endelea makeo ndo muhusika mkuu.

Alafu punguza mawazo ya kuwaza kurogwa kila saa.
 
Tena ni ulemavu mbaya mno.Hapo anaua viumbe wa Mungu bila sababu za msingi alafu anasingizia alikua anapigana vita.Unaweza kuta ni mandoto tu ya kawaida ambayo kila mtu anayaota ila mwenzako anawaza kulogwa.Aliyeleta hizi dini alituweza sana.
Alafu nashangaa yeye amekomalia paka na mbwa kisa ameambiwa na mchungaji wake bila kujua kuwa wachawi wanaweza kutumia kitu chochote kilicho karibu na ww akiwemo mkeo na watoto wako kukudhuru.
 
Yohana 17:17 SUV.
Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli.

Yohana 8:32 SUV.
Tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.

Yohana 14:6 SUV.
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima;

Dini sio njia, kweli na uzima, YESU KIRSTO ndiye.
 
Nimeanza kukaa na paka nikiwa na miaka6 akawa analala juu ya neti yangu. Alikufa kwa kuumwa, yule paka alikuwa hawezi kuamka mpaka anione nimeamka kwanza, wonderful enough nakumbuka napelekwa shule ananisindikiza mpaka getini halafu anarudi.

Katika viumbe ambavyo vina upendo wa ajabu ni MBWA. Anaweza kukupenda zaidi ya anavyojipenda. Mzee wangu alileta mbwa wale wa urembo aliwatoa kwa rafiki yake. Ilifika extent mpaka mtu akiwa ananifokea ana react vbaya mno.

Hizo stori sijawahi kuziona kwangu na nimeanza kukaa na hivyo viumbe nikiwa mdogo.
Warokole ni watu wa ajabu sana yaani wao kila wanacho ambiwa na mchungaji wao wanameza tu bila kufikilia.

Mm katika wanyama ninao wapenda ni mbwa na paka ,mbwa ni mnyama mwenye urafiki wa kweli ,ila paka ana urafiki wa masilahi na anajipenda yeye kwanza kabla ya kukupenda ww [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].
 
Warokole ni watu wa ajabu sana yaani wao kila wanacho ambiwa na mchungaji wao wanameza tu bila kufikilia.

Mm katika wanyama ninao wapenda ni mbwa na paka ,mbwa ni mnyama mwenye urafiki wa kweli ,ila paka ana urafiki wa masilahi na anajipenda yeye kwanza kabla ya kukupenda ww [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].
Nakubaliana na wewe mkuu!
Paka ana upendo wa masilahi yake kwanza, yeye akishiba anatafuta kochi lipo wapi hapo utamuona tena.

Mbwa Ana upendo ambao sijawahi ona kwa viumbe wengine, Mimi ilifikia extent akisikia hata watu wanapiga zile kelele za kucheka anakuja kuniangalia nje. ajabu zaidi ni anaweza kukuangalia usoni akafahamu upo na mood gani kwa wakati huo.

sijawahi kujutia upendo wa mbwa yupo radhi afe kumlinda anayempenda.
 
Kwa hiyo ww una akili kumzidi Mungu aliye waumba hao paka?
Alafu kwann akomalie paka tu hali yakuwa nimesha kwambia kuwa mchawi anaweza kutumia mnyama wa aina yeyote na hata watu wako unao ishi nao ndani kwako?

Ww kama huwapendi paka ni ww na ni haki yako lakini isiwe sababu ya kuwapazia ubaya wasio kuwa nao.

Nimesha kwambia kuna wanyama maalum kwa ajili ya kukaa kwenye mabanda na wengine hawajaubwa kukaa kwenye mabanda.

Paka sio mnyama aliye umbwa kwa ajili ya kukaa ndani ya banda bali ni mnyama aliye umbwa kuwa huru na kuingia popote anapo pataka na ndio maana ana asili ya usafi.

Usishangae huyo mkeo ndo mchawi mwenyewe na hayo mauza uza yanayo endelea makeo ndo muhusika mkuu.

Alafu punguza mawazo ya kuwaza kurogwa kila saa.
Sawa ndugu mfuga mapaka nimekuelewa😀😀
 
Mbwa hapana. Mbwa kapewa binadamu kama mlinz wa fiscally things na spiritual thing's hasa usiku. Mbwa ana uwezo wa kuona jini na kubweka
Ndo usikae nae ndani mbwa.
 
Sawa ndugu mfuga mapaka nimekuelewa[emoji3][emoji3]
Huna akili kila saa kuwaza kurogwa alafu mm sio mfugaji wa myama yeyote nyumbani kwangu, mm nilicho kifanya hapo ni kukutoa huo ujinga ulio aminishwa na mchungaji wako.

Watu washindwe kuroga watu wa maana waje kukuroga mtu anaye nuka umasikini kila hahali ?
Ww umenikumbusha mzee mmoja jirani yetu aliye wafukuzaga watoto wake 2 nyumbani kwa kuwatuhumu kuwa wana mroga baada ya kuambiwa hivyo na mchungaji sasa na ww unaelekea huko.

Urokole ni tatizo kubwa ndani ya nchi hii unatakiwa kudhibitiwa.
 
Masuala ya wadudu yasikie tu, bora wewe mjusi mi kuna ndugu yangu alistuka usiku anahisi ubaridi pembeni yake, kumbe lahaula kufunua shuka anajikuta kadozi na nyoka pembeni japo kidume ila alipiga yowe kama anabakwa

Hivyo tuchukue tahadhari, kuwaondoa hao wadudu

Paka pia husaidia kuondoa mijusi na nyoka, na mbwa husaidia katika ulinzi

Hivyo ni muhimu kuifunika nyumba yako na damu ya Yesu uishi kwa amani hata kama una mbwa na paka

Pia nilisikia kwenye redio miaka mingi nyuma ya kuwa dawa ya miijusi ndani ya nyumba ni unyoya wa tausi (ule wenye macho), uning'inize mahali ambao unaonekana na watakimbia wote hutaona hata mmoja
Damu ya Yesu haichanganywi na maelekezo ya kutundika unyoya wa tausi wenye macho kufukuza mijusi,

Ukiamua njia ya Yesu kaa hiyo hiyo, na ukiamua kwingine Baki huko.

Kuchanganya Mungu na miungu ni kujitafutia matatizo.

Ubarikiwe
 
Kuokoka ndio nini mkuu?
Kuokoka ni kurudisha uhusiano na Mungu kupitia Yesu ambaye ni MUNGU aliyekuja katika mwili wa mwanadamu Ili kuuokoa Ulimwengu.

Kuokoka ni Kuzaliwa mara ya pili na kubatizwa Kwa ubatizo wa moto wa Roho mtakatifu.

Kuokoka ni kupewa nafasi ya kuitwa mwana wa Mungu.

Kuokoka ni kumkiri Yesu Kristo kuwa ni BWANA na Mwokozi wa maisha Yako.

Kuokoka ni kuishi maisha ya utakatifu.

Amen
 
Huna akili kila saa kuwaza kurogwa alafu mm sio mfugaji wa myama yeyote nyumbani kwangu, mm nilicho kifanya hapo ni kukutoa huo ujinga ulio aminishwa na mchungaji wako.

Watu washindwe kuroga watu wa maana waje kukuroga mtu anaye nuka umasikini kila hahali ?
Ww umenikumbusha mzee mmoja jirani yetu aliye wafukuzaga watoto wake 2 nyumbani kwa kuwatuhumu kuwa wana mroga baada ya kuambiwa hivyo na mchungaji sasa na ww unaelekea huko.

Urokole ni tatizo kubwa ndani ya nchi hii unatakiwa kudhibitiwa.
Jikite kwenye mada.

Halafu kama kitu hukielewi au kukiamini, usitake Kila mtu afikiri na kuamini sawasawa na unavyoamini.

Hujalazimishwa kusoma thread, wapo watakaosaidika wasomapo ujumbe huu ambao umenyooka.

Ubarikiwe.
 
Ulokole una uraibu wa ajabu sana
Nina ishi huko
Mojawapo ya vitu ambavyo walokole wanatakiwa wasaidiwe waachane navyo ni ujinga
Etii tusifuge mbwa wala paka mwishoni utatuambia tusifuge pia ng'ombe na mbuzi

Kule Kenya walokole kibao wamekufa kwa sababu ya mafundisho ya kijinga
Hapa Tanzania walokole wengi wana uziwa maji ya upako, vitamba vya upako, mchanga wa upako Nk.
Na bado mateso yapo palepale
Walokole wengi wanaangamia kwa kukosa maarifa na maarifa ni Neno sahihi la Mungu ambalo alijaghoshiwa.
 
Mleta mada una kiwango gani Cha elimu. Nakushauri ujifunze tabia za viumbe walio karibu na binadamu. Halafu huoni aibu kuamini dini zilizoletwa Kwa njia ya kuwafanya mababu zetu watumwa?
Jifunze wewe Elimu Dunia ulete findings.

Mimi nikupe Elimu origino ya ELIMU ya Rohoni katika Ulimwengu wa Roho Kisha tusaidiane, ingawa Elimu hizi zinapingana.

Karibu.
 
Back
Top Bottom