BEI 420,000/=
TUNAJUA MAFUTA YAMEPANDA BEI PIGA CHINI GHARAMA HIZO TUKUPATIE BASKELI YA KISASA YA UMEME YENYE BATTERY [emoji367] YENYE NGUVU KUBWA ZAIDI , UTAWEZA KUTEMBELEA HADI KILOMETER 120-150 BILA KUSUMBUKA / UNAWEZA KUTUMIA MIFUMO YOTE KWA KUKANYAGA PEDAL AU KUENDESHA KWA UMEME TUPIGIE [emoji3513]LEO TUKUHUDUMIE AU TUMA UJUMBE KWA NJIA YA WHATSAPP NO 0755837542/ OFFER YA USAFIRI [emoji924]
BURE NA VIFAA VYAKE BADO ZIPO KARIBU / TUNASAFIRISHA POPOTE TANZANIA NA NJE YA NCHI PIA
LOCATION [emoji625]ZANZIBAR PEMBA KIUYU
========
Ofisini kwetu tuliziona hizo baiskeli na kuvutiwa nazo sana lakini tukaweka mashaka makubwa kwenye bei.. Hivyo kujiridhisha tukafanya mawasiliano na wahusika. Wakasema imebaki moja tuu na tufanye malipo haraka tutumiwe mzigo
Tulicheki na vyanzo vyetu Zanzibar na Pemba lakini tukakuta hakuna kitu kama hicho, tulitumia pia namba tofauti tatu lakini kila moja ilipewa maelezo tofauti
Huko FM/META bado jamaa wanapost na pengine wameshawapiga watu. Nimeleta hapa kama tahadhari ili vilio visije kuwa vingi baadae
View attachment 2302880