Makinikeni na hawa matapeli

Juzi kuna jamaangu aliona TV 50” inauzwa 550,000 zanzibar,
Alishawishika sana na kuniuliza kama akiagiza itafika salama,nilimcheka sana na nikamwambia kama usingekutana na mimi ungekua unalia wakati huu
Hao watu wanatumia kigezo cha wao kuwa mbali ili tu utume pesa
 
Watu wamelizwa sana huko visiwani
 
Tafadhali.....Kaka mshana naomba kuwasilisha jambo kwako DM au Njia nyingine naweza kukupata....nipo Kilimanjaro....
 
Online business kwa Tanzania,bado sana! Wewe agiza tu,biriani sasa hivi hapo ulipo,utaletewa tofauti na ulivyoagiza au utaletewa muda wanaotaka wao,au isipate kabisa
 
Online business kwa Tanzania,bado sana! Wewe agiza tu,biriani sasa hivi hapo ulipo,utaletewa tofauti na ulivyoagiza au utaletewa muda wanaotaka wao,au isipate kabisa
Inaharibiwa na wachache wasioijua na wachache wenye nia ovu

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…