Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Hata kocha anaelalia kifuani kwako hapo nae haumjui?Mimi nimesummarize tuu huo mtiririko mkuu wala sina baya. Kwanza zaidi ya mgunda mm simjui kocha mwingine yoyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kocha anaelalia kifuani kwako hapo nae haumjui?Mimi nimesummarize tuu huo mtiririko mkuu wala sina baya. Kwanza zaidi ya mgunda mm simjui kocha mwingine yoyote.
Sianga iliwaletea sifa makolo ila alipougua hawakufanya mchango wowote na kumtembelea kunfariji ili kutambua mchango wake kwa timu hiyoHawa ndio makocha bora zaidi katika soka letu katika kipindi tajwa hapo juu.
1. James Siang'a
2. Abdallah Kibaden
3. Patrick Phiri
4. Jack Chamangwana
5. Patrick Aussems
6. Syllersaid Mziray
7. Charles Mkwasa
8. Raoul Shungu
9. Stewart Hall
10. Nzoyisaba Tauzany
Kwani kuna mechi kifuani?.Hata kocha anaelalia kifuani kwako hapo nae haumjui?
CAF wanatumia point kuweka ranking ya timu na hizo zinaonesha Simba ni timu kubwa.Kwahiyo mnaposema kuwa simba ni kubwa afrika kumbe mnajitoa akili huku munajua wazi ukubwa wa timu ni kuchukua vikombe na sio kushiriki
Tumia google badala ya kutaka kutafuniwa kila kitu.Unaandika orodha bila kusema mafanikio ya kila kocha, hii ni takataka
Simba tulikuwa tunamuombea.Sianga iliwaletea sifa makolo ila alipougua hawakufanya mchango wowote na kumtembelea kunfariji ili kutambua mchango wake kwa timu hiyo
We jamaa bna!!..hivi uliiona stars ya msola iliyocheza na rwanda maximo akiwa jukwaani pale uhuru!!?..ilikua uharo tu,pasi nne shida, peleka miaka mbele itazame stars iliyocheza na Cameroon ya etoo 2008 pale kwa mkapa..bila maximo nizar,shindika,babi,kigi,nyoni nk usingewajuaHizi ni porojo za vijiweni. Maximo ana mafanikio gani hapa Tanzania? Taja vikombe alivyobeba uache blah blah.
Au taja mchezaji yeyote aliyeibuliwa na kufanywa bora na maximo.
Sianga alisema walikua wakinunua mechi za ligi na mo...na ugomvi ye na mo ni baada ya kukataa kuuza mechi kwa zamalekSianga iliwaletea sifa makolo ila alipougua hawakufanya mchango wowote na kumtembelea kunfariji ili kutambua mchango wake kwa timu hiyo
Mwambusi amebeba makombe yapi?Mwambusi hujamtendea haki
Minziro amebeba makombe yapi?Minziro hujamtendea haki
Hizi ni porojo za mtaani.Sianga alisema walikua wakinunua mechi za ligi na mo...na ugomvi ye na mo ni baada ya kukataa kuuza mechi kwa zamalek
Porojo za mtaani wakati alisema mwenyewe siang'a na magazeti tukasoma!Hizi ni porojo za mtaani.
list ya mchongo unamsahau vipi au Meck Maximo katika top 10Hawa ndio makocha bora zaidi katika soka letu katika kipindi tajwa hapo juu.
Kigezo kikuu ni idadi ya vikombe ila pia tumeangalia ubora wa mpira na uwezo wa kuboresha vipaji vya wachezaji.
1. James Siang'a
2. Abdallah Kibaden
3. Patrick Phiri
4. Jack Chamangwana
5. Patrick Aussems
6. Syllersaid Mziray
7. Charles Mkwasa
8. Raoul Shungu
9. Stewart Hall
10. Nzoyisaba Tauzany
Umesema ukubwa ni kuchukua vikombe mara hii umebadilika?CAF wanatumia point kuweka ranking ya timu na hizo zinaonesha Simba ni timu kubwa.
Hawa ndio makocha bora zaidi katika soka letu katika kipindi tajwa hapo juu.
Kigezo kikuu ni idadi ya vikombe ila pia tumeangalia ubora wa mpira na uwezo wa kuboresha vipaji vya wachezaji.
1. James Siang'a
2. Abdallah Kibaden
3. Patrick Phiri
4. Jack Chamangwana
5. Patrick Aussems
6. Syllersaid Mziray
7. Charles Mkwasa
8. Raoul Shungu
9. Stewart Hall
10. Nzoyisaba Tauzany
Wafuatao kwa maoni yangu ndio makocha bora kwa kipindi chote cha uhai wa Tanzania na sio kama alivyotaka mleta nyuzi yaani kuanzia 1990.Hawa ndio makocha bora zaidi katika soka letu katika kipindi tajwa hapo juu.
Kigezo kikuu ni idadi ya vikombe ila pia tumeangalia ubora wa mpira na uwezo wa kuboresha vipaji vya wachezaji.
1. James Siang'a
2. Abdallah Kibaden
3. Patrick Phiri
4. Jack Chamangwana
5. Patrick Aussems
6. Syllersaid Mziray
7. Charles Mkwasa
8. Raoul Shungu
9. Stewart Hall
10. Nzoyisaba Tauzany