Makocha kumi bora kuwahi kufundisha mpira wa miguu Tanzania 1990-2022

Unaonekana unapenda sana mpira

Kama binti ningependa kujua uliingiaje kwenye mpira

Je unapenda mpira kweli au unapenda timu?
Je unafatilia mechi nyingi au unafatilia mechi za timu yako tu ikicheza

Km unanafasi tukualike kwenye media
Basi tufanye uzi ubatilishwe tuuu
 
Moja kati ya Makocha WAKUBWA.

Wenye Elimu zaidi kuwahi kufundisha Tanzania ni PIER RECHANTE.

PATRIC RECHANTE ALIONDOKA HOVYO SANA.
 
Asante kwa kuleta taarifa nzuri. Niliepuka kuandika waliokuwepo kabla ya 1990 maana sina details za kutosha. Hope utapata muda uandike kuhusu hao wengine ili tuwafahamu zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…