Makocha wa timu za taifa letu

Makocha wa timu za taifa letu

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Hemed Morocco
Juma Mgunda
Jamuhuri Kihweru
Amri Kiemba
Bakari Shime
Ahmed Ally
Je umegundua nini hapo kuhusu soka la bongo?
 
Hao wote ni wahamasishaji tu wa mpira wa miguu. Hakuna kocha hapo.
NB: Mimi siyo muumini wa kushabikia udini.

Zaidi ya yote; mimi kama mimi, naishabikia nchi yangu yaTanganyika! Naamini ipo siku tu, tutamuondoa yule kupe aliyejificha kwenye koti chakavu linaloitwa muungano.
 
Hao ni waajiriwa wa Wallace Karia,Wilifred kidau ,Oscar Milambo na Clifford Mario Ndimbo usiwe na hofu lakini pia wanaangaliwa kwa Umakini na Leodigar Tenga na Neema Mhita kutoka BMT huku Kabudi akihakikisha utulivu
 
Back
Top Bottom