Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani, Bakhresa amesema anaitaka Simba?, na vipi kuhusu mgongano wa maslahi?
Waunde timu yaoAnyang'anywe kivipi tena, na wakati wanachama waliridhia wenyewe huyo Mo kuwa mwekezaji wao!! Tena ni baada ya kuweka mzigo wa bilioni 20! Na ambazo ni sawa na 49% ya hisa zote za klabu yao!!
Mimi nadhani waendelee tu kusikilizia maumivu, maana huyo jamaa bado yupo yupo sana hapo msimbazi kwao. Waoende, wasipende!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Makiwendo
Shunie
Cillah wapo pole maboss hao.. Hawamtaki babara wala Mo.. Wameanza shikani uchawi
View attachment 2426569
Team wampe Makiwendo 😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watani hawana uvumilivu kabisa.
Makolo wanaongea sana, wanafaa kuwa waimba taarabu.. 😅😅😅🤣🤣🤣🤣
Yeye mwenyewe anagugumia huko.
Waache wako na "silesi" 🤣🤣🤣🤣Makolo wanaongea sana, wanafaa kuwa waimba taarabu.. 😅😅😅
Wahamie tu wananchi 😅😅 sie hatuna hiyana wala maneno maneno kama waoWaache wako na "silesi" 🤣🤣🤣🤣
Amewahi kucheza mpira wapi? Hilo ndio swali nmeona ameuliza,CEO ni ke ila are judged na uongozi wake sio uanamke wake
Pia ameuliza wapi mwanamke awe kiongozi?,President wa CAF amewahi kucheza mpira wapi?,President wa yanga amecheza mpira wapi?,na soma hii President Magufuli hajawahi kuwa hata balozi wa nyumba kumi!!!,judge kwa performance not Gender plsAmewahi kucheza mpira wapi? Hilo ndio swali nmeona ameuliza,
Kwa hio nani ambae amewahi kua balozi nyumba 10?Pia ameuliza wapi mwanamke awe kiongozi?,President wa CAF amewahi kucheza mpira wapi?,President wa yanga amecheza mpira wapi?,na soma hii President Magufuli hajawahi kuwa hata balozi wa nyumba kumi!!!,judge kwa performance not Gender pls