Makolo wekeni akiba ya maneno

Makolo wekeni akiba ya maneno

Simba kwa saizi ishavuka stage ya kufungwa bao 5

Simba wakati inatengeneza njia ili ije ifike hapa ilipo ndio ilikutana na zahma kama hizo

But this time around timu zote kubwa zikipangiwa na Simba lazima zikune kichwa

Nyie endeleeni kuruka ruka na makoti ya oversize huko Tunisia, hizo ndio level zenu nyinyi failures

Hata Vipers afungwe 10 bado hamuwezi kujifananisha nao, wao ni bora kuliko nyinyi na ndio maana wanashiriki mashindano ya timu bora.
Wewe mbumbumbu kijana kuna timu yenye level ya kufungwa tano na isiyo level hio? ndio maana mna ambiwa acheni kwenda na matokeo mfukoni, timu giant nyingi tu zisha pigwa gwara+ Liverpool alipigwa na Aston villa Real Madrid kasha chezea 5 ikiwa na Ronaldo, Beckham, Zidane, Figo nyie mpo level gani?
 
Wewe mbumbumbu kijana kuna timu yenye level ya kufungwa tano na isiyo level hio? ndio maana mna ambiwa acheni kwenda na matokeo mfukoni, timu giant nyingi tu zisha pigwa gwara+ Liverpool alipigwa na Aston villa Real Madrid kasha chezea 5 ikiwa na Ronaldo, Beckham, Zidane, Figo nyie mpo level gani?
Leo hii unakuja na utetezi huu kwasababu umeona timu yako nayo inashiriki haya mashindano na ipo possibility ya kukutana na kimbari

Thats why umeona uje na defense kabisa?

Kipindi Simba anapigwa goli 5 si mliweka sherehe na ikawa ndio wimbo kuwa tunaliaibisha taifa?

Leo ndio unagundua goli 5 ni sehemu ya mchezo?
 
Leo hii unakuja na utetezi huu kwasababu umeona timu yako nayo inashiriki haya mashindano na ipo possibility ya kukutana na kimbari

Thats why umeona uje na defense kabisa?

Kipindi Simba anapigwa goli 5 si mliweka sherehe na ikawa ndio wimbo kuwa tunaliaibisha taifa?

Leo ndio unagundua goli 5 ni sehemu ya mchezo?
Ila yote kwa yote jiandaeni kisaikolojia mkuu hii simba sio ile ya wakina miquisone, kagere, boco wakiwa kwenye ubora wao kumbuka kwa miaka miwili mfululizo ubora wa simba umekua ukishuka kutokana na kuuza wachezaji tegemeo, kushuka viwango waliopo na kufanya usajiri mbovu wakati huo hao raja casablanca sio wa mchezo, usicheke kilichomkuta vipers maana wewe bado haujaenda morroco
 
Bahati mbaya timu yako pia ilitia aibu miaka hiyo
 
Utopwinyo mnahaha sana..
Kule tunisia watu wenu wanaganda
 
Leo hii unakuja na utetezi huu kwasababu umeona timu yako nayo inashiriki haya mashindano na ipo possibility ya kukutana na kimbari

Thats why umeona uje na defense kabisa?

Kipindi Simba anapigwa goli 5 si mliweka sherehe na ikawa ndio wimbo kuwa tunaliaibisha taifa?

Leo ndio unagundua goli 5 ni sehemu ya mchezo?
[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Screenshot_20230211-143318_WhatsApp.jpg
 
Wapuuzeni hawa Utopolo. Wamevimbiwa mihogo kwa mujibu wa Rais wao Hirizi.
 
Ajira rasmi bado sijapata mkuu ila najishughulisha vidili viwili vitatu vya kunisogezea siku na wala siishi kwa shemeji. Nipo geto sio sehemu ya luxury kama unayoishi mwenzangu ila angalao napata usingizi baada ya miangaiko ya siku nzima.. kama kuna mchongo upande huo tupeane connection mkuu.
Sasa ndo upunguze makasiriko mkuu kaa chini utulize akili kabla haujaja kuandika maneno yako huku ...na aliyesema kwamba viper ni vibonde sio kocha wala wachezaji bali ni mashabiki ambao yuko huru kuongea anachofikiri au kukiona...Ova
 
Sasa ndo upunguze makasiriko mkuu kaa chini utulize akili kabla haujaja kuandika maneno yako huku ...na aliyesema kwamba viper ni vibonde sio kocha wala wachezaji bali ni mashabiki ambao yuko huru kuongea anachofikiri au kukiona...Ova
Makasiriko gani tena jamani
 
Hizi siredi tushazizowea kuanzia enzi za Al ahly, As vital, js saoura, al hilal, us gendamarie, FC platinum, plateau ,asec mimosa, ............n.k
So in simple resiponsiiiiiii ,sired ni 🚮🚮🚮
 
Wachezaji wa vipers walikuwa Wanacheza utadhani wamelewa. Inawezekana ndiyo fitina zenyewe za mpira kupulizia dawa vyumbani au Kupitia chakula
 
Back
Top Bottom