Makomando wa Marekani waingia Somalia na kumuua mkuu wa magaidi wa IS

Makomando wa Marekani waingia Somalia na kumuua mkuu wa magaidi wa IS

Wakristo rejea ni biblia tu , wakristo hatuna Hadith kama nyie

wacha kudanganya , kama rejea yenu ni biblia wapi kwenye Biblia Yesu alisema mimi ni mungu au alisema mniabudu mimi ??
 
wacha kudanganya , kama rejea yenu ni biblia wapi kwenye Biblia Yesu alisema mimi ni mungu au alisema mniabudu mimi ??
Acha kurukaruka , tupo na umri wa Mary weka andiko la biblia
 
Acha kurukaruka , tupo na umri wa Mary weka andiko la biblia

Anayeruka ruka ni wewe uliyesema rejea yenu ni Biblia , sasa toa jibu


wacha kudanganya , kama rejea yenu ni biblia wapi kwenye Biblia Yesu alisema mimi ni mungu au alisema mniabudu mimi ??
 
Anayeruka ruka ni wewe uliyesema rejea yenu ni Biblia , sasa toa jibu


wacha kudanganya , kama rejea yenu ni biblia wapi kwenye Biblia Yesu alisema mimi ni mungu au alisema mniabudu mimi ??
Umeshindwa la Mary unaamisha mada
 
Umeshindwa la Mary unaamisha mada

la mary umeshindwa wewe uliyedai rejea yenu ni biblia , nikakuuliza kama rejea yenu ni biblia , ni wapi Yesu alisema Mimi yesu ni mungu wenu na mniabudu mimi ??

unazunguka tu
 
Wanaweza kushambulia balozi popote jirani kulipa kisasi.
Ishawai kutokea so kutoa alert muhimu.
Magharibi pamoja na Israel huwa wana share intelligence baina yao. Kwa nini Ubalozi hapa wasinge share intelligence na security agencies za Tanzania ???

Wanarusha ma alert kwenye nchi za watu ambayo sisi hatuzijui, tuishi na hofu bila kujua tunaogopa nini, eti tusiende masokoni na tusile kwenye migahawa.

Ndo maana Kamanda SACP Misime akasema this is bull crap, tahadhari hizi Watanzania zipuuzeni. Geneva Convention imeulinda ubalozi, mtu mwingine angekamatwa kwa kuzua taharuki bila ku share ushahidi.
 
la mary umeshindwa wewe uliyedai rejea yenu ni biblia , nikakuuliza kama rejea yenu ni biblia , ni wapi Yesu alisema Mimi yesu ni mungu wenu na mniabudu mimi ??

unazunguka tu
Unaulizaje swali na hujajibu la Mary
Kiri kwanza la Mary alafu tuje la Yesu
 
Unaulizaje swali na hujajibu la Mary
Kiri kwanza la Mary alafu tuje la Yesu


La mary nimekuambia kaangalie kwenye Catholic Ecyclopedia ukaniambia rejea yenu ni biblia , nikakuuliza kama rejea yenu ni biblia nitajie niwapi kwenye biblia Yesu amesema mimi ni mungu na mniabudu mimi ?? unakimbia
 
, nikakuuliza kama rejea yenu ni biblia nitajie niwapi kwenye biblia Yesu amesema mimi ni mungu na mniabudu mimi ?? unakimbia
Katika ukristo mungu ni tofauti na Mungu , rekebisha swali nikujibu
 
Mkuu wa magaidi ya Islamic state aliyekua amejificha kwenye pango Somalia, ameuawa na makomando wa Marekani, pia washirika wake kumi wamewahishwa huko peponi....
Poleni wenzetu humu JF ambao hutetea hawa magaidi kisa dini.............


US forces have killed an Islamic State leader, Bilal al-Sudani, and 10 of his operatives in northern Somalia, American officials say.
He was killed after US special forces raided a remote mountainous cave complex hoping to capture him.

"Al-Sudani was responsible for fostering the growing presence of ISIS in Africa," Defence Secretary Lloyd Austin said.

He also allegedly funded the group's activities globally, Mr Austin added.

Analysts say the fact that US troops were sent to kill or capture Sudani, rather than using a less risky drone strike, indicates his significance.

In recent years, the Islamic State group has reportedly expanded its activities into several African countries, including Mozambique and the Democratic Republic of Congo.
KDF wao wapo bize kuiba Mkaa
 
Back
Top Bottom