Makomando wa Marekani waingia Somalia na kumuua mkuu wa magaidi wa IS

Makomando wa Marekani waingia Somalia na kumuua mkuu wa magaidi wa IS

Sababu naamini kuwa habari za uwepo wa Mungu ni za kutunga kama za Juma na Roza.
Allah,Yesu au Jehova ni uongo wa wazungu na waarabu.

Watu kama wewe mmelewa huu uongo kias cha kusikitisha.
Mmekua vichaa mnaoweza kufungwa mabomu ya kuwaua na kuua wasio na hatia.

Iman zenu za Yesu na Allah hazinisumbui na ninaziheshimu na huwa sidharau iman ya mtu hata akisema Wowowo la mkewe ndo Mungu wake nitaheshimu.

Kinachonipa shida ni uharibifu wa amani pale mnapotetea hao Miungu yenu.
Its time sasa Muache Yesu au Allah wajipiganie wenyewe.

Its time mtu akimtukana Yesu aachwe Yesu apambane na adui yake.

Its time mtu asiyemuamin Allah adharauliwe tu na Allah ndo awe muamuz wa kumpa mabikira au kumpa malaya au kumnyima kabisa mbususu.

Nyie wakristo na waislam achen viherehere vya kupigana vita isiyowahusu.

Jibu​

Uislamu ndio jibu la binadamu katika utafutaji wake wa maana na lengo. Kusudi la uumbaji kwa wanaume na wanawake wote kwa nyakati zote limekuwa moja: kumjua na kumwabudu Mungu.

Qurani inatufundisha kwamba kila mwanadamu amezaliwa akimfahamu Mungu,

"Na pale Mola wako Mlezi alipo waleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwao kizazi chao, na akawashuhudisha juu ya nafsi zao, akawaambia: Je, Mimi si Mola Mlezi wenu? Wakasema: Kwani! Tumeshuhudia. Msije mkasema Siku ya Kiyama sisi tulikuwa tumeghafilika na hayo. Au mkasema: Hakika baba zetu ndio walio shirikisha kabla yetu, na sisi ni dhuriya zao tu baada yao. Basi utatuangamiza kwa sababu ya waliyo yafanya wapotovu?’"(Quran 7:172-173)

Nabii wa Uislamu anatufundisha kwamba Mungu aliumba haja hii ya kimsingi katika asili ya binadamu wakati Adamu alipoumbwa. Mwenyezi Mungu alichukua agano kutoka kwa Adamu alipo muumba.

Mungu aliwaondoa wazao wote wa Adamu ambao bado hawajazaliwa, kizazi baada ya kizazi, akawatandaza, akachukua agano kutoka kwao.

Akaziambia nafsi zao moja kwa moja, akiwashuhudia kwamba Yeye ndiye Mola wao Mlezi.

Kwa kuwa Mungu aliwafanya wanadamu wote kuapa kwa Ubwana wake alipomuumba Adamu, kiapo hiki kinachapishwa kwenye nafsi ya binadamu hata kabla ya kuingia kwa mtoto tumboni, na hivyo mtoto anazaliwa na imani ya kiasili katika Umoja wa Mungu.

Imani hii ya kiasili inaitwa fitra kwa Kiarabu.

Kwa hivyo, kila mtu hubeba mbegu ya imani katika Umoja wa Mungu ambayo iko kwa undani na imezikwa chini ya matabaka ya kutoshughulikiwa na kudhoofishwa na hali ya kijamii.

Ikiwa mtoto huyo angeachwa peke yake, angekua kwa ufahamu wa Mungu - Muumba mmoja - lakini watoto wote wanaathiriwa na mazingira yao.

Nabii wa Mungu alisema,

"Kila mtoto amezaliwa katika hali ya 'fitra', lakini wazazi wake humfanya Myahudi au Mkristo. Ni kama vile mnyama anavyozaa watoto wa kawaida. Je! Umemwona mtoto aliyezaliwa akiwa ameshakatwa kabla hujamkata?"





Kielelezo : Ajabu ya maisha. Mtoto aliye tumboni akinyonya kidole chake.​

Kwa hivyo, kama mwili wa mtoto unavyojisalimisha kwa sheria za kimaumbile, zilizowekwa na Mungu ardhini, nafsi yake pia inajisalimisha kwa kawaida kwa ukweli kwamba Mungu ndiye Bwana na Muumba wake.

Hata hivyo, wazazi wake wanamfanya afuate njia yao wenyewe, na mtoto hana uwezo wa akili wa kuipinga.

Dini ambayo mtoto huifuata katika hatua hii ni ya mila na malezi, na Mwenyezi Mungu hatamuuliza kuhusu dini hii.

Mtoto anapokua na kuwa mtu mzima, lazima sasa afuate dini ya elimu na sababu.

Kama watu wazima, watu lazima sasa wapigane kati ya asili yao ya kumuelekea Mungu na tamaa zao ili kupata njia sahihi.

Wito wa Uislamu unaelekezwa kwa hali hii ya kwanza, tabia ya kiasili, alama ya Mwenyezi Mungu juu ya nafsi, fitra, ambayo imesababisha nafsi za kila hai kukubali kuwa Yeye aliyewaumba ni Mola wao Mlezi, hata kabla ya kuundwa kwa mbingu na ardhi,

"Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi." (Quran 51:56)

Kulingana na Uislamu, kumekuwa na ujumbe wa msingi ambao Mungu ametufunulia kupitia manabii wote, tangu wakati wa Adamu hadi mwisho wa manabii, Muhammad, amani iwe juu yao. Manabii wote waliotumwa na Mungu walikuja na ujumbe huo muhimu:

"Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani...’" (Quran 16:36)

Manabii walileta jibu hilo hilo kwa swali la kutisha zaidi kwa wanadamu, jibu linalozungumzia hamu ya nafsi kwa Mungu.
 
Sababu naamini kuwa habari za uwepo wa Mungu ni za kutunga kama za Juma na Roza.
Allah,Yesu au Jehova ni uongo wa wazungu na waarabu.

Watu kama wewe mmelewa huu uongo kias cha kusikitisha.
Mmekua vichaa mnaoweza kufungwa mabomu ya kuwaua na kuua wasio na hatia.

Iman zenu za Yesu na Allah hazinisumbui na ninaziheshimu na huwa sidharau iman ya mtu hata akisema Wowowo la mkewe ndo Mungu wake nitaheshimu.

Kinachonipa shida ni uharibifu wa amani pale mnapotetea hao Miungu yenu.
Its time sasa Muache Yesu au Allah wajipiganie wenyewe.

Its time mtu akimtukana Yesu aachwe Yesu apambane na adui yake.

Its time mtu asiyemuamin Allah adharauliwe tu na Allah ndo awe muamuz wa kumpa mabikira au kumpa malaya au kumnyima kabisa mbususu.

Nyie wakristo na waislam achen viherehere vya kupigana vita isiyowahusu.

Ibada ni Nini?​

‘Uislamu' maana yake ni 'kujisalimisha', na kuabudu, katika Uislamu, maana yake ni 'utii kwa Mungu.’

Kila kitu kilichoumbwa 'kinajisalimisha' kwa Muumba kwa kufuata sheria za kimaumbile zilizoundwa na Mungu,

"Na vyake Yeye vilivyo mbinguni na katika ardhi. Vyote vinamt'ii Yeye." (Quran 30:26)


Wao, hata hivyo, hawapewi thawabu wala kuadhibiwa kwa 'kujisalimisha' kwao, kwa maana haihusishi hiari.

Malipo na adhabu ni kwa wanao muabudu Mwenyezi Mungu, wanaokubali sheria ya kimaadili na kidini ya Mwenyezi Mungu kwa hiari yao.

Ibada hiyo ndiyo kiini cha ujumbe wa manabii wote waliotumwa na Mungu kwa wanadamu.

Kwa mfano, ufahamu huu wa ibada ulionyeshwa kinagaubaga na Yesu Kristo,

"Si kila mtu anayesema, ‘Bwana, Bwana,’ ambaye ataingia katika Ufalme wa mbinguni ila ni wale wanaofanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni."

‘Anachotaka Mungu' inamaanisha 'kile Mungu anataka wanadamu wafanye.

'Anavyovitaka Mungu' vinapatikana katika sheria zilizofunuliwa na Mungu ambazo manabii waliwafundisha wafuasi wao.

Kwa hivyo, utii wa sheria ya Mungu ni msingi wa ibada.

Ni wakati tu binadamu anapomwabudu Mungu wake kwa kujisalimisha kwa sheria Yake ya kidini ndipo anaweza kuwa na amani na maelewano katika maisha yake na matumaini ya kuingia peponi, kama vile ulimwengu unavyoendana kwa umoja kwa kujisalimisha kwa sheria za kimaumbile zilizowekwa na Mola Mlezi.

Unapoondoa tumaini la kuingia mbinguni, unaondoa thamani na madhumuni ya maisha.

Vinginevyo, kuna tofauti gani muhimu kama tunaishi maisha mema au mabaya?

Hatima ya kila mtu itakuwa ni moja tu..
 
Ni nini maana na lengo la maisha?

' Hili labda ni swali muhimu zaidi ambalo limewahi kuulizwa.

Katika miaka yote, wanafalsafa wameona kuwa ni swali la msingi zaidi.

Wanasayansi, wanahistoria, wanafalsafa, waandishi, wanasaikolojia na watu wa kawaida wote hupambana na swali hilo wakati fulani katika maisha yao.


Je, Mantiki ni Mwongozo wa Kutosha?​

“Kwa nini tunakula?” “Kwa nini tunalala?” 'Kwa nini tunafanya kazi? '

Majibu tunayopata ya maswali haya yatakuwa yale yale. “Nala ili niishi.” “Nalala ili nipumzike.” 'Nafanya kazi ili nijisaidie na nisaidie familia yangu.

' Lakini linapokuja kwa suala la maana ya maisha, watu wanachanganyikiwa.

Tunaona tahayuri wao katika aina ya majibu tunayopokea.

Vijana wanaweza kusema, “Ninaishi kwa ajili ya pombe na usherati.”

Mtaalamu mwenye umri wa kati anaweza kusema, “Ninaishi kuchanga vya kutosha ili nistaafu vizuri.”

Mtu mzee anaweza kusema, “Maisha yangu yote, nimekuwa nikijiuliza kwa nini niko hapa.

Ikiwa kuna lengo, sijali tena.” Na labda jibu la watu wengi litakuwa, “Kwa hakika Sijui!”

Je, basi, utagunduaje lengo la maisha?

Tuna hiari mbili.

Ya kwanza ni kuwacha 'mantiki ya mwanadamu'- mafanikio yaliyoadhimishwa ya enzi ya Elimu ya Kisayansi- kutuongoza.

Baada ya yote, enzi hiyo ilitupatia sayansi ya kisasa kulingana na uchunguzi wa makini wa ulimwengu wa kiasili.

Lakini wanafalsafa waliokuja baada ya enzi hiyo walielewa lengo hilo?

Camus alielezea maisha kama “upuuzi”;

Sartre alizungumzia “uchungu, kutelekezwa na kukata tamaa.” Kulingana na hao, maisha hayana maana

Wadarwini walidhani maana ya maisha ni kuzaana.

Will Durant, kupambana na msiba wa mtu wa kisasa, aliandika, “Imani na matumaini yametoweka; shaka na kukata tamaa yamekuwa ada ya kila siku... si nyumba zetu na hazina zetu ndizo tupu, ni 'mioyo yetu.”

Linapokuja kwa lengo la maisha, hata wanafalsafa wenye hekima wanakisia tu.

Will Durant, mwanafalsafa aliyejulikana zaidi karne iliyopita, na Dk. Hugh Moorhead, profesa wa falsafa katika Chuo Kikuu cha Illinois Kaskazini, wote waliandika vitabu tofauti vilivyoitwa 'Maana ya Maisha.'

Waliandika kwa wanafalsafa maarufu, wanasayansi, waandishi, wanasiasa, na wasomi wa wakati wao duniani, wakiwauliza “Ni nini maana ya maisha?”

Kisha walichapisha majibu yao.

Wengine walitoa dhana zao , wengine walikiri kwamba walijitungia wenyewe lengo la maisha, na wengine walikuwa waaminifu kwa kusema kuwa hawakuwa na mwelekeo.

Isitoshe, idadi kadhaa kati ya wasomi maarufu waliwauliza waandishi wawaandikie na kuwaambia kama lengo la maisha limegunduliwa!
Sorry mkuu.
IQ yangu ni ndogo sana siwez kuelewa hiz nondo ulizoandika..
Hata sijasoma.
Ndefu sana.
 
Ni nini maana na lengo la maisha?

' Hili labda ni swali muhimu zaidi ambalo limewahi kuulizwa.

Katika miaka yote, wanafalsafa wameona kuwa ni swali la msingi zaidi.

Wanasayansi, wanahistoria, wanafalsafa, waandishi, wanasaikolojia na watu wa kawaida wote hupambana na swali hilo wakati fulani katika maisha yao.


Je, Mantiki ni Mwongozo wa Kutosha?​

“Kwa nini tunakula?” “Kwa nini tunalala?” 'Kwa nini tunafanya kazi? '

Majibu tunayopata ya maswali haya yatakuwa yale yale. “Nala ili niishi.” “Nalala ili nipumzike.” 'Nafanya kazi ili nijisaidie na nisaidie familia yangu.

' Lakini linapokuja kwa suala la maana ya maisha, watu wanachanganyikiwa.

Tunaona tahayuri wao katika aina ya majibu tunayopokea.

Vijana wanaweza kusema, “Ninaishi kwa ajili ya pombe na usherati.”

Mtaalamu mwenye umri wa kati anaweza kusema, “Ninaishi kuchanga vya kutosha ili nistaafu vizuri.”

Mtu mzee anaweza kusema, “Maisha yangu yote, nimekuwa nikijiuliza kwa nini niko hapa.

Ikiwa kuna lengo, sijali tena.” Na labda jibu la watu wengi litakuwa, “Kwa hakika Sijui!”

Je, basi, utagunduaje lengo la maisha?

Tuna hiari mbili.

Ya kwanza ni kuwacha 'mantiki ya mwanadamu'- mafanikio yaliyoadhimishwa ya enzi ya Elimu ya Kisayansi- kutuongoza.

Baada ya yote, enzi hiyo ilitupatia sayansi ya kisasa kulingana na uchunguzi wa makini wa ulimwengu wa kiasili.

Lakini wanafalsafa waliokuja baada ya enzi hiyo walielewa lengo hilo?

Camus alielezea maisha kama “upuuzi”;

Sartre alizungumzia “uchungu, kutelekezwa na kukata tamaa.” Kulingana na hao, maisha hayana maana

Wadarwini walidhani maana ya maisha ni kuzaana.

Will Durant, kupambana na msiba wa mtu wa kisasa, aliandika, “Imani na matumaini yametoweka; shaka na kukata tamaa yamekuwa ada ya kila siku... si nyumba zetu na hazina zetu ndizo tupu, ni 'mioyo yetu.”

Linapokuja kwa lengo la maisha, hata wanafalsafa wenye hekima wanakisia tu.

Will Durant, mwanafalsafa aliyeju
 
Sababu naamini kuwa habari za uwepo wa Mungu ni za kutunga kama za Juma na Roza.
Allah,Yesu au Jehova ni uongo wa wazungu na waarabu.

Watu kama wewe mmelewa huu uongo kias cha kusikitisha.
Mmekua vichaa mnaoweza kufungwa mabomu ya kuwaua na kuua wasio na hatia.

Iman zenu za Yesu na Allah hazinisumbui na ninaziheshimu na huwa sidharau iman ya mtu hata akisema Wowowo la mkewe ndo Mungu wake nitaheshimu.

Kinachonipa shida ni uharibifu wa amani pale mnapotetea hao Miungu yenu.
Its time sasa Muache Yesu au Allah wajipiganie wenyewe.

Its time mtu akimtukana Yesu aachwe Yesu apambane na adui yake.

Its time mtu asiyemuamin Allah adharauliwe tu na Allah ndo awe muamuz wa kumpa mabikira au kumpa malaya au kumnyima kabisa mbususu.

Nyie wakristo na waislam achen viherehere vya kupigana vita isiyowahusu

Sorry mkuu.
IQ yangu ni ndogo sana siwez kuelewa hiz nondo ulizoandika..
Hata sijasoma.
Ndefu sana
Kiswahili kinataka IQ hivi sasa ? Sawa
 

Mbadala Wa Uvumi: Muulize Mungu​

Hii inatuleta kwenye chaguo la pili: mbadala wa uvumi kuhusu maana na madhumuni ya maisha ni ufunuo.

Njia rahisi zaidi ya kugundua madhumuni ya uvumbuzi ni kuuliza mvumbuzi.

Ili kugundua lengo la maisha yako, muulize Mungu.

Je, Ukristo Unaweza Kujibu Swali?​

Katika Ukristo, maana na lengo la maisha linategemea imani katika injili ya Yesu Kristo, katika kumkubali Yesu kama Mwokozi.

Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.”

Hata hivyo, pendekezo hili halikosi matatizo makubwa. Kwanza, kama hii ndiyo kusudi la uumbaji na sharti la uzima wa milele, kwa nini haikufundishwa na manabii kwa mataifa yote ya ulimwengu?

Pili, Mungu angegeuka kuwa mwanadamu wakati wa Adamu wanadamu wote wangekuwa na nafasi sawa ya uzima wa milele, ila wale waliokuja kabla ya wakati wa Yesu walikuwa na lengo lingine la kuwepo kwao!

Tatu, jinsi gani watu wa leo ambao hawajasikia habari za Yesu watatimiza kusudi la Kikristo la uumbaji?

Kwa kawaida, kusudi na lengo hilo ni jembamba sana na linakwenda kinyume na haki ya Mungu.


Wee Kama unataka kunisilimisha wewe nisilimishe tu tuokoe muda mkuu mana hata sijui tulikua tunaongelea nin tena.

Nisilimishe yaishe.
 
Mkuu wa magaidi ya Islamic state aliyekua amejificha kwenye pango Somalia, ameuawa na makomando wa Marekani, pia washirika wake kumi wamewahishwa huko peponi....
Poleni wenzetu humu JF ambao hutetea hawa magaidi kisa dini.............


US forces have killed an Islamic State leader, Bilal al-Sudani, and 10 of his operatives in northern Somalia, American officials say.
He was killed after US special forces raided a remote mountainous cave complex hoping to capture him.

"Al-Sudani was responsible for fostering the growing presence of ISIS in Africa," Defence Secretary Lloyd Austin said.

He also allegedly funded the group's activities globally, Mr Austin added.

Analysts say the fact that US troops were sent to kill or capture Sudani, rather than using a less risky drone strike, indicates his significance.

In recent years, the Islamic State group has reportedly expanded its activities into several African countries, including Mozambique and the Democratic Republic of Congo.
Kibongobongo sasa hapa hatukuelewa ile Security alert
 
... wangemdaka Putin hivyo; mfu au hai ingependeza sana na ingepunguza changamoto za dunia pakubwa! Hope yuko kwenye targets zao.
Kwani unafikiri wako mbali kufanya vile? Check tu nchi zote za Ulaya sasa hivi zinavyoongeza Msaada wa Vifaru kwa Ukraine..

Putin na jeshi lake wanapiga yowe tu watalipua nyuklia watalipua nyuklia, nobody is listening,

Hata Ujerumani waliokuwa hawataki kutoa vifaru na msaada mwingine wa kijeshi nao wamebadili gia angani, manake wameshapiga hesabu wakajua jamaa yuko taabani sasa hamalizi miezi 6 ataanza kuomba mazungumzo kumaliza vita

Majuzi tu hapa aliomba kusitisha vita kwa 3 Ukraine wakamgomea
 
Mkuu wa magaidi ya Islamic state aliyekua amejificha kwenye pango Somalia, ameuawa na makomando wa Marekani, pia washirika wake kumi wamewahishwa huko peponi....
Poleni wenzetu humu JF ambao hutetea hawa magaidi kisa dini.............


US forces have killed an Islamic State leader, Bilal al-Sudani, and 10 of his operatives in northern Somalia, American officials say.
He was killed after US special forces raided a remote mountainous cave complex hoping to capture him.

"Al-Sudani was responsible for fostering the growing presence of ISIS in Africa," Defence Secretary Lloyd Austin said.

He also allegedly funded the group's activities globally, Mr Austin added.

Analysts say the fact that US troops were sent to kill or capture Sudani, rather than using a less risky drone strike, indicates his significance.

In recent years, the Islamic State group has reportedly expanded its activities into several African countries, including Mozambique and the Democratic Republic of Congo.
Wanawawahi wale 70 na vijito vya ulevi
 
Si lazima nikusilimishe mimi si uende kwa waislamu hapo uishipo wakakusilimishe
Umeshindwa kujibu swali langu

Swali jepesi
Ni mkristo gani alikwambia wakristo Mungu wao ni mtu ? Au umejiambia mwenyewe?
 
Nilikuuliza pia , unataka Yesu atamke kama wewe exactly maneno , hujajibu
Nilikuuliza hivi kiswahili hukijui ?
Ni wapi Yesu alisema Mimi ni Mungu? Na ni wapi alisema mniabudu Mimi ?
Unaruka Ruka tu
 
Nilikuuliza hivi kiswahili hukijui ?
Ni wapi Yesu alisema Mimi ni Mungu? Na ni wapi alisema mniabudu Mimi ?
Unaruka Ruka tu
Pangua hii moja
Allah anasema Mungu ni mwanga, Yesu anatoa jibu Mimi ndimi mwanga
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi
 
Pangua hii moja
Allah anasema Mungu ni mwanga, Yesu anatoa jibu Mimi ndimi mwanga
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi
Tuwekee vizuri mistari ya biblia na sys ya Quran usichanganye maneno na usikate aya
 
Back
Top Bottom