Makomando wa Marekani waingia Somalia na kumuua mkuu wa magaidi wa IS

Makomando wa Marekani waingia Somalia na kumuua mkuu wa magaidi wa IS

Siyo miaka tisa tu alimbaka na kumlawiti akiwa na miaka 6 akapotezea kwa kumuoa akiwa na mia 9 akidhani akifanya hivyo amejustify.

Isitoshe alikuwa anapakaga wanja na hina na kumnyonya ulimi mwanamme mwenzake Hussein msikitini akiwa uchi.

Duh huwa yanatia kinyaa sana...
 
Jamani MK254 na Gavana please acheni kashfa za kidini, uzi huu si sehemu ya kujenga chuki za kidini, naomba musiuharibu.
 
Mkuu wa magaidi ya Islamic state aliyekua amejificha kwenye pango Somalia, ameuawa na makomando wa Marekani, pia washirika wake kumi wamewahishwa huko peponi....
Poleni wenzetu humu JF ambao hutetea hawa magaidi kisa dini.............


US forces have killed an Islamic State leader, Bilal al-Sudani, and 10 of his operatives in northern Somalia, American officials say.
He was killed after US special forces raided a remote mountainous cave complex hoping to capture him.

"Al-Sudani was responsible for fostering the growing presence of ISIS in Africa," Defence Secretary Lloyd Austin said.

He also allegedly funded the group's activities globally, Mr Austin added.

Analysts say the fact that US troops were sent to kill or capture Sudani, rather than using a less risky drone strike, indicates his significance.

In recent years, the Islamic State group has reportedly expanded its activities into several African countries, including Mozambique and the Democratic Republic of Congo.
Hapa ndipo huwa nawakubali USA!kwa intelligence yao,ebu fikiria Wanajeshi wazungu!wanaingia sehemu kama Tandale,au manzese usiku,Tena wanakuwa wanajua mpaka nyumba aliyojificha gaidi na wanafanikiwa kumdedisha!
Sio polisi wa bongo,kukamata panya road tu shida,
 
Watusaidie basi waende hapo capo Delgado msumbiji wakafanye kitu hapo wawagonge wajinga wajinga wakiojificha huko porini?
Magaidi ushambulia KWA kuvizia na sio kupigana, hawana uwezo huo sio jeshi kumbuka ni SAwa na panyaroad
 
Wewe umeshajionesha kuwa wanakubandua huko msikitini. Hauwezi kuwa insecure kiasi hiki. Just come out uutangazie umma wa JF kuwa unakandwa. Muda wote kuongelea ushoga kama sio kwamba wanakubokoa ni kitu gani hasa. Kichwa chote kimejaa kuwaza ushoga 24/7

Mbona huyo unayemuabudu kaweka wazi wengine mnafanywa mashoga makanisani ili kutumikia kanisa . na tunakuona namna unavyoandika hapa kulitumikia kanisa ni mipasho tu


wjdgay4.jpg
 
Hapa ndipo huwa nawakubali USA!kwa intelligence yao,ebu fikiria Wanajeshi wazungu!wanaingia sehemu kama Tandale,au manzese usiku,Tena wanakuwa wanajua mpaka nyumba aliyojificha gaidi na wanafanikiwa kumdedisha!
Sio polisi wa bongo,kukamata panya road tu shida,

Unawakubali vipi na vijana waliingia kwao na kuteka ndege kwa visu vya kupeta kwa maneno yao wenyewe USA au hukumbuki 2001
 
We nishakujua ni Chizi, ukiongea na Chizi unakuwa Chizi kumpita Chizi halisi.


Nyinyi mtakuwa machizi zaidi kwani mnamuabudu kiumbe ambaye hata family yake walimuona ni chizi

New American Standard Bible Mark 3 :21

And when His own people heard about this, they came out to take custody of Him; for they were saying, “He has lost His senses.”


Contemporary English Version

When Jesus' family heard what he was doing, they thought he was crazy and went to get him under control.

Douay-Rheims Bible

And when his friends had heard of it, they went out to lay hold on him. For they said: He is become mad.
 
Yesu unayemzungumza ndiye huyu ?? Kwa mujibu wa Biblia ni Mwanaharamu ?????


Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie katika mkutano wa Bwana.
Kumbukumbu la Torati 23:2



Kitabu cha Mwanzo kinarekodi katika sura ya 38 hadithi ambayo Yuda (baba wa jamii ya Kiyahudi) anafanya ngono ya incest. Anadanganywa kulala na kahaba; ambaye anageuka kuwa binti-mkwe wake.

Na habari zikaenea kwamba alikuwa na mtoto kwa uasherati. Tamari, yule kahaba angezaa mapacha ambao wangeitwa Peresi na Zara.

Kitendo hiki cha wazi cha uharamu na mimba ya kujamiiana kilikuwa katika ukiukaji wa wazi wa Sheria.

Kwa hiyo tunaposoma Mathayo 1:3

Yuda akamzaa Faresi na Zera kwa Tamari; na Faresi akamzaa Esromu; na Esromu akamzaa Aramu;
Kahaba na zao la kujamiiana na incest huheshimiwa katika ukoo wa Yesu.

Licha ya maagizo mengi katika Biblia kuwatenga wenye dhambi kutoka kwa nyumba ya Mungu kwa vizazi.

Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie katika mkutano wa Bwana.
Kumbukumbu la Torati 23:2

Kwa hiyo Kulingana na haya Yesu alitoka katika kitendo cha zinaa, ..Nauzbillah!


Hali ndiyo hii
Haya ndo mnafundishwa kule MUM?Sasa mbona mamake na huyu mwanaharam kaandikwa mara nyingi zaidi kwenye kitabu kisicho na shaka ndani yake?Na swali langu bado hujajibu.Huyu Yesu ndo Issa aliyeshusha enjiil?
 
Haya ndo mnafundishwa kule MUM?Sasa mbona mamake na huyu mwanaharam kaandikwa mara nyingi zaidi kwenye kitabu kisicho na shaka ndani yake?Na swali langu bado hujajibu.Huyu Yesu ndo Issa aliyeshusha enjiil?

Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s. alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufu na wapendwa wa Mwenyezi Mungu.

Wanatoka kutoka koo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba:

A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shaka mitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).

B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29).

Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake.

Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu.

Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu.

Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia.

Na kama Wakristo mnang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi mjuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nini?

Karibuni, Muhammad s.a.w. mfano wa Musa anawakaribisheni kwa mikono miwili.

Kama mnaona kwamba Yesu Kristo ni mtakatifu lakini Biblia imechafuka kwa mikono ya waandishi, pia karibuni katika dini ya Kiislamu.

Qur'an kitabu cha Mungu kitawatoshelezeni.

Maana hakuna njia ya kusalimika isipokuwa katika dini ya Kiislam. Kwahiyo karibuni sana
 
Mbona huyo unayemuabudu kaweka wazi wengine mnafanywa mashoga makanisani ili kutumikia kanisa . na tunakuona namna unavyoandika hapa kulitumikia kanisa ni mipasho tu


wjdgay4.jpg
Oya kanyolewe nywele zote mwilini hizo afu upakwe wanja ili wakubandue vizuri huko msikitini hicho ndo kitu pekee unaweza kuaccomplish
 
Haya maneno hayapo kwenye Biblia, tunautaka version ya King James.
 
Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s. alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufu na wapendwa wa Mwenyezi Mungu.

Wanatoka kutoka koo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba:

A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shaka mitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).

B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29).

Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake.

Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu.

Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu.

Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia.

Na kama Wakristo mnang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi mjuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nini?

Karibuni, Muhammad s.a.w. mfano wa Musa anawakaribisheni kwa mikono miwili.

Kama mnaona kwamba Yesu Kristo ni mtakatifu lakini Biblia imechafuka kwa mikono ya waandishi, pia karibuni katika dini ya Kiislamu.

Qur'an kitabu cha Mungu kitawatoshelezeni.

Maana hakuna njia ya kusalimika isipokuwa katika dini ya Kiislam. Kwahiyo karibuni sana
Quran hii inayosema kuwa mtanyolewa nywele zote na kupakwa wanja?

The people of Paradise shall enter Paradise without body hair, Murd, with Kuhl on their eyes, thirty years of age or thirty-three years." Jami` at-Tirmidhi 2545

No wonder wewe unawaza ushoga kichwani muda wote. Usikute mshanyoana na kupakana wanja na imamu huko. Mengine ambayo yako obviously huenda mmeficha
 
Marekani kwa maujiko ya kijinga tu hawajambo. Wameenda kuwaua watu waliokuwa wamelala tena baada ya kutonywa na informer wameona bonge la dili kitu ambacho hata wangetonywa jeshi la nchi yoyote wangeweza kufanya hayo mauaji
Rule number 1 ya mmarekani
1.malighafi
1.malighafi
1.malighafi
Cheki Venezuela(mafuta),somalia (gas asili, maguta),Congo drc (madini),Mozambique(madini),Angola (madini),Libya (mafuta),Syria (mafuta+gas),Ukraine (mafuta,gas etc,) Afghanistan(mafuta +gas) hizo nisehemu chache dunia,as long as kuna rasilimali lazima ataweka mkono wake and anaingia na neno UGAIDI,mfikirie sn US anapokufanya rafiki/adui wake
 
Back
Top Bottom