Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Marekani haipo overrated aisee.aila naona battle zake mmarekani huwaga ana struggle sana hazijanyooka kama myahudi mpaka sometimes namuonaga na yeye kama yuko overrated sana
Waafrika ni cheap labour hizo kazi wazungu wengi hawataki wa America hawazitaki hizo kazi umetaja naongelea mchango wa Israel kwenye teknolojia za vita marrkani sio hizo kazi za vibarua za Watu weusi wnaofanya sana kazi mashamba ya pamba, viwanda, ujenzi wa njia za uchukuzi n.k na kupanga mabox na bidhaa supermarketWatu weusi wana msaada mkubwa US kuliko hata hao jews...
Watu weusi wamefanya sana kazi mashamba ya pamba, viwanda, ujenzi wa njia za uchukuzi n.k
Walichangia uchumi wa US kukua sana...
Acheni ku overrate jews....
Mnashindwa kutambua mchango mkubwa wa weusi mnadanganywa jews..
Mchango wa watu weusi Marekani ni mkubwa.Watu weusi wana msaada mkubwa US kuliko hata hao jews...
Watu weusi wamefanya sana kazi mashamba ya pamba, viwanda, ujenzi wa njia za uchukuzi n.k
Walichangia uchumi wa US kukua sana...
Acheni ku overrate jews....
Mnashindwa kutambua mchango mkubwa wa weusi mnadanganywa jews..
Vibarua hivyo vya ujenzi wazungu na wayahudi hawataki ni kazi za chini sana ndio maana wanaachia watu weusiMchango wa watu weusi Marekani ni mkubwa.
Hata White House watumwa wenye asili ya Kiafrika walihusika kwenye ujenzi wake.
Kwani vibarua siyo binadamu? Huko Israel hakuna vibarua wa Kiyahudi?Vibarua hivyo vya ujenzi wazungu na wayahudi hawataki ni kazi za chini sana ndio maana wanaachia watu weusi
Umechemka vibaya sana.Kwa sababu Israel anahitaji msaada
na kingine, kwa sehemu kubwa mashariki ya kati Israel ndio nchi inabaki kuwa mshirika wa kuaminika kwa US.
US inahitaji ushawishi eneo hilo, Israel ni jicho la US kwa ME, Israel ni kambi kubwa ya kijeshi kwa ME, Israel ni mahala pa ki stratejia kwa US
US inaweza kuishambulia nchi yeyote ME kupitia Israel ikiwemo Iran.. na hata Yemen...
US haitokubali kuipoteza Israel kwa manufaa ya kiuchumi, kijeshi, ki stratejia n.k...
From what i think lakini....
Habari za Israel imebarikiwa akili,utakatifu na tech kubwa ni uongo, Israel haifikii nusu ya robo ya tech iliyopo US
Hilo ni suala mojawapo ....Hawawezi pigana China na marekani hata siku moja
Ajira nyingi China zinazolipa vizuri wafanyakazi China ni za viwanda vya wamarekani waliowekeza china
Na soko kubwa la nje la fedha za kigeni za China soko lao liko marekani ndio wanunuzi wakubwa wa bidhaa za viwango vya juu za china
Hata Chinese ni cheap labor ndio hao wanaikimbiza USA...Waafrika ni cheap labour hizo kazi wazungu wengi hawataki wa America hawazitaki hizo kazi umetaja naongelea mchango wa Israel kwenye teknolojia za vita marrkani sio hizo kazi za vibarua za Watu weusi wnaofanya sana kazi mashamba ya pamba, viwanda, ujenzi wa njia za uchukuzi n.k na kupanga mabox na bidhaa supermarket
Hizo wazungu wengi na wayahudi huwezi kuwaona huko na hawana mpango wameachia watu kama nyie
Obama baba yake mKenya, kaingia madarakani umeona Kenya imepata misaada ya mabilioni kutoka US, F35 na Air defenses?Umechemka vibaya sana.
Kuna jumuiya ya waisrael nchini Marekani na ni watu wenye nguvu kubwa sana za kiuchumi na wana ushawishi mkubwa mno kwa siasa za Marekani na wanategemewa sana na vyama vikuu vya kisiasa ktk nchi hiyo hivyo chama chochote kinapoingia madarakani kuiunga mkono Israel lazima iwe ajenda yake kuu.
Katika matajiri 100 wakubwa wa nchini Marekani unakuta 70 wana vinasaba vya Israel sasa hapo unategemea nini.
Sources zako za wapi..?Democrats wameshatengeneza bifu na Israel na hapo ndo Trump anapopitiaView attachment 3111533
Hio ni message kwamba aidha mkubali au mkatae tutafanya tunachotaka kufanya
Maliwatoni kwa netanyahu....endeleeni kusubiri wakina bbc na CNNSources zako za wapi..?
Yamewashinda mahandakiya Hamas Ghaza, mpaka leo Hamas wanaibuka na kuwatembezea kichapo. Mazayuni uni mpaka leo hawajuwi nateka wao wako wapi. Wataweza ya Hezbollah?Wadau hamjamboni nyote?
Makomandoo wa IDF wameanza kulipua mahandaki yanayotumiwa na magaidi wa Hezbollah huko mpakani mwa Israel na Lebanon
Ni maandalizi ya uvamizi kamili unaotarajiwa muda wowote kuanzia sasa.
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Israeli troops have entered Hezbollah tunnels dug near the border with Israel as part of small-scale forays into southern Lebanon, as it gears up for a threatened ground incursion, according to a report in a US newspaper Monday.
Reports in foreign press in recent days have indicated that Israel Defense Forces soldiers have been carrying out limited cross-border raids to collect information or damage Hezbollah’s capabilities to attack Israel.
According to the Monday report in The Wall Street Journal, the missions, described as “targeted,” have involved special forces entering a network of subterranean warrens Hezbollah is widely understood to have dug near the Blue Line separating Israel from Lebanon.
The report, which cited unnamed sources familiar with the matter, said the raids have taken place over the past months, as well as more recently, with troops “probing” and gathering intelligence, as activity ramps up ahead of a possible ground offensive.
Israel has stepped up fighting against Hezbollah in recent weeks as it seeks to push the group away from the border and halt nearly a year of rocket and drone attacks on northern Israel that have left a swath of Israeli towns scarred and uninhabited.
According to The Wall Street Journal, a wider troop incursion could occur as early as this week, significantly ramping up fighting, though some have interpreted increasingly bellicose comments from Israel on the possibility of a ground war as part of a campaign meant to pressure a weakened Hezbollah into withdrawing as part of a ceasefire.
Rescuers dig through rubble after an Israeli strike in the southern Lebanese village of Ain El Delb on September 30, 2024. (Mahmoud ZAYYAT / AFP)
Sources cited by the newspaper were quoted as saying the timing could still change, with Israel under heavy pressure from the US to hold back.
Advertisement
Since this month’s escalation, with Israeli airstrikes on the terror group this week killing more than 700 people in Lebanon, the US has repeatedly voiced opposition to any IDF ground invasion to target Hezbollah, calling instead for a diplomatic solution.
Speaking to troops from infantry and armored brigades in northern Israel on Monday, Defense Minister Yoav Gallant strongly hinted that the army was preparing to launch a ground offensive against Hezbollah in Lebanon.
“The elimination of Nasrallah is a very important step, but it is not everything. We will use all the capabilities we have,” Gallant said. “You are part of this effort.”
Sawa source ya kikobaz kobazi. 😁😁😁Maliwatoni kwa netanyahu....endeleeni kusubiri wakina bbc na CNN
Yaani unasema US hawezi kupigana hizo nchi kwa mpigo? Mzee hawa jamaa achana nao linapokuja suala la kupambana na adui zao, wana pesa za kutosha kwa ajili ya umafia.Trump anataka kupigana na Mchina,
USA haitaweza kupigana Vita ya Middle East na Israel, RUssia na China kwa mpigo.
Trump anataka vita mbili ziishe na abaki na Mchina peke yake.
USA asipofilisika, Wachina na Waarabu watakiona cha Mtema Kuni.
Kikubwa furahia kilichomo kichwani mwakoSawa source ya kikobaz kobazi. 😁😁😁
All the best 🇮🇱🇮🇱
Ustaadhat umepata dodoma wine nini au Netanyahu nae amehack vijini vyakoYameqashinda ya Hamad Ghaza, mpakqnleo qanibuka na kuatembezea kichapo, na hawajuwi nateka wao wako wapi. Wataweza ya Hezbollah.
. Ni propaganda kwa wajinga ndiyo waliwao tu.