Obama baba yake mKenya, kaingia madarakani umeona Kenya imepata misaada ya mabilioni kutoka US, F35 na Air defenses?
What's so special about jews?
Wenzetu hawaendeshi nchi kwa mihemko ya kikabila, udini na kujuana kama nyie, mambo ya uzanzibari na uTanganyika...
Mapendekezo na mawazo masuala ya kijeshi, uchumi, vita n.k lazima bunge linakaa kura zinapigwa, hata pesa kuisaida Ukraine bunge US walikaa kupiga kura juzi hapa....
Hawakai wayahudi kupanga wanalotaka .... bungeni huko hadi wenye vinasaba vya ujaluo wapo...
Hizi story mnatoa wapi?