Makombola yanatumia saa manane angani halafu unategemea kumlipua Muisrael

Makombola yanatumia saa manane angani halafu unategemea kumlipua Muisrael

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Kwa technologia yasasa huwezi kufanikiwa na vikombola alivyotumia Iran dhidi ya israel'.

Iran hawakuwa serious. Hivi kweli wanatudanganya na vikombola vyao uchwala kwamba wanalipiza kisasi

Vikombola na vidrone vinamwendo wa km 40 kwa saa alafu eti unamtishia Israel.

Tuzungumze ukweli, Iran Kachemka. Nilitegemea angalau angetumia hypersonic moja tu tuone ubora wa Israel kiulinzi

All in All tusishabikie Vita
 
tuone ubora wa Israel kiulinzi

All in All tusishabikie Vita
Nchi kadhaa zilihamia Kule,sio Israel
Screenshot_20240415-220440.png
 
Sijui kwa nini wachambuzi hawataki kufukunyua habari na kuzitafakari! Iran alikuwa anatuma ujumbe tu na siyo kuanzisha vita kamili.

Hivi watu walitaka Iran arushe makombora yenye madhara Israel si vita vingezuka pale Mashariki ya Kati! Sababu ya kuzua vita vikubwa ghafla ghafla ili iweje?

Iran karusha makombora na drone zaidi ya 300! Hata kama zimedunguliwa, lakini zimekosesha utulivu nchini Israel, mfano watoto walishindwa kulala usiku kucha, je, huo siyo ujumbe tosha kutoka Iran? Hivi unaweza kupata utulivu huku angani kuna milio ya droni na makombora ya kutungua ndege?
 
Sijui kwa nini wachambuzi hawataki kufukunyua habari na kuzitafakari! Iran alikuwa anatuma ujumbe tu na siyo kuanzisha vita kamili.

Hivi watu walitaka Iran arushe makombora yenye madhara Israel si vita vingezuka pale Mashariki ya Kati! Sababu ya kuzua vita vikubwa ghafla ghafla ili iweje?

Iran karusha makombora na drone zaidi ya 300! Hata kama zimedunguliwa, lakini zimekosesha utulivu nchini Israel, mfano watoto walishindwa kulala usiku kucha, je, huo siyo ujumbe tosha kutoka Iran? Hivi unaweza kupata utulivu huku angani kuna milio ya droni na makombora ya kutungua ndege?
Daniel hagai yule msemaji wa idf bado anaweweseka kila akiona zile debris zilizotunguliwa
 
Iran karusha makombora na drone zaidi ya 300! Hata kama zimedunguliwa, lakini zimekosesha utulivu nchini Israel, mfano watoto walishindwa kulala usiku kucha, je, huo siyo ujumbe tosha kutoka Iran? Hivi unaweza kupata utulivu huku angani kuna milio ya droni na makombora ya kutungua ndege?
Kwa hiyo lengo la Iran kurusha makombora yote yale lilikua kuwakosesha watu utulivu na usingizi? 🤣🤣
 
Sijui kwa nini wachambuzi hawataki kufukunyua habari na kuzitafakari! Iran alikuwa anatuma ujumbe tu na siyo kuanzisha vita kamili.

Hivi watu walitaka Iran arushe makombora yenye madhara Israel si vita vingezuka pale Mashariki ya Kati! Sababu ya kuzua vita vikubwa ghafla ghafla ili iweje?

Iran karusha makombora na drone zaidi ya 300! Hata kama zimedunguliwa, lakini zimekosesha utulivu nchini Israel, mfano watoto walishindwa kulala usiku kucha, je, huo siyo ujumbe tosha kutoka Iran? Hivi unaweza kupata utulivu huku angani kuna milio ya droni na makombora ya kutungua ndege?
Huku ni kujifariji tu baada ya kushindwa kufikia lengo.
Israel imeichokoza Iran kwa kulipua ubalozi wake kule Syria na kuua maafisa wa juu kabisa wa Iran Saba. Iran ikaapa kulipiza kisasi kikali, ikatoa onyo zito, ikajiandaa kwa wiki mbili, mwisho ikafyatua makombora ya masafa marefu ya aina tatu tofauti (Drones, Cruise, missile) na karibu yote yakazuiwa bila kuleta madhara, na hapo hapo Iran ikajipongeza imefanikiwa!!
Halafu wewe unadai Iran ilikuwa haina nia ya kulipiza kisasi bali kupiga mikwara tu! Wayahudi wanaogopa mikwara? How?

Sema wazi tu, jaribio la Iran kulipiza kisasi kwa 99% limeshindwa.
 
Kwa technologia yasasa huwezi kufanikiwa na vikombola alivyotumia Iran dhidi ya israel'.

Iran hawakuwa serious. Hivi kweli wanatudanganya na vikombola vyao uchwala kwamba wanalipiza kisasi

Vikombola na vidrone vinamwendo wa km 40 kwa saa alafu eti unamtishia Israel.

Tuzungumze ukweli, Iran Kachemka. Nilitegemea angalau angetumia hypersonic moja tu tuone ubora wa Israel kiulinzi

All in All tusishabikie Vita
Umekurupuka tu kukimbilia kufungua nyuzi ktk vitu ambavyo hauvijui. PUMBAFU!

Iliyotumia masaa nane sio makombola ni drone na drone zilitumwa ili kwenda kuzifanya mifumo ya ulinzi wa anga kuwa busy. Makombola yanywe yalitumia dk 5 tu kupiga tageti na kufanya uwalibifu mkubwa

Uwalibifu uliofanywa na iran imepelekea huko Tel Aviv kufanya vikao visivyokwasha yaani kama vile vikao vya wanga.


Kama hakukuwa na uhalibifu kwanini wameumia sana na kufanya vikao kila siku vya kujadili jinsi ya kulipiza kisasi?
 
Umekurupuka tu kukimbilia kufungua nyuzi ktk vitu ambavyo hauvijui. PUMBAFU!

Iliyotumia masaa nane sio makombola ni drone na drone zilitumwa ili kwenda kuzifanya mifumo ya ulinzi wa anga kuwa busy. Makombola yanywe yalitumia dk 5 tu kupiga tageti na kufanya uwalibifu mkubwa

Uwalibifu uliofanywa na iran imepelekea huko Tel Aviv kufanya vikao visivyokwasha yaani kama vile vikao vya wanga.


Kama hakukuwa na uhalibifu kwanini wameumia sana na kufanya vikao kila siku vya kujadili jinsi ya kulipiza kisasi?
uharibifu unahitaj waokoaji au vikao ? ila mtu mweusi bana akipenda kitu anageuka mwehu , watu wanajadili way up dhidi ya adui wewe bado una akili za kisisimu , kutatua ttzo la leo mpk ipite miaka 5

Israel sio ccmu nyambafuuu ww
 
Umekurupuka tu kukimbilia kufungua nyuzi ktk vitu ambavyo hauvijui. PUMBAFU!

Iliyotumia masaa nane sio makombola ni drone na drone zilitumwa ili kwenda kuzifanya mifumo ya ulinzi wa anga kuwa busy. Makombola yanywe yalitumia dk 5 tu kupiga tageti na kufanya uwalibifu mkubwa

Uwalibifu uliofanywa na iran imepelekea huko Tel Aviv kufanya vikao visivyokwasha yaani kama vile vikao vya wanga.


Kama hakukuwa na uhalibifu kwanini wameumia sana na kufanya vikao kila siku vya kujadili jinsi ya kulipiza kisasi?
Kanuni ya wayahudi ni moja tu siku zote, kila jaribio la kutaka kuwaangamiza wayahudi litajibiwa kikamilifu tena mara dufu kuwaangamiza wote waliojaribu.
Myahudi hapendi kujaribiwa jaribiwa, huwa hapendi sana kucheka na kima yoyote wa kigaidi.

Kwa sasa kibao kimeshabadilika, Iran iko busy kujipanga kuzuia kipigo cha mashambulizi kutoka Israel.

Mabango ya pray for Iran huenda yanaandaliwa.
 
Kwa technologia yasasa huwezi kufanikiwa na vikombola alivyotumia Iran dhidi ya israel'.

Iran hawakuwa serious. Hivi kweli wanatudanganya na vikombola vyao uchwala kwamba wanalipiza kisasi

Vikombola na vidrone vinamwendo wa km 40 kwa saa alafu eti unamtishia Israel.

Tuzungumze ukweli, Iran Kachemka. Nilitegemea angalau angetumia hypersonic moja tu tuone ubora wa Israel kiulinzi

All in All tusishabikie Vita
Niliandika juu ya hili. Iran inavyoonekana hakuwa na lengo la kuiumiza Israel kusababisha vita ilikuwa ni show tu ya kuwafurahisha raia wake na Ayatollah kuonyesha kuwa haogopi.
Masaa nane ina maana Israel iliweza kutrack kila drone na kombora.
Angekuwa kweli kadhamiria kuipiga Israel angeipiga attack ya ghafla mtu hata hajipangi.
Raia walikuwa wanazingua ukizingatia maisha yameoanda oesa inaanguka, bado shambulizi la Israel lingefanya regime ionekane weak. Ayatollah asingekubali hili akaamua kuwapa show na kwel8 raia wa Iran wamefurahi.
Unaambiwa nchi za Mashariki ya kati ikiwemo Saudi Arabia zikishare intelligence na Israel zikiisaidia kutrack shambulio hilo maana hazitaki vita kwa mfano saudi inalenga kujijenga zaidi kiuchumi.
Jordan yeye alitungua baadhi ya drones akidai zimeingia kwenye anga lake.
Lile shambulizi ilikuwa ni show tu wala halikulenga kuleta madhara. Katika akili ya kawaida haiwezekani utume silaha zinazochukua saa nane kuhit target halafu utegemee impact kubwa.
 
Kwa hiyo lengo la Iran kurusha makombora yote yale lilikua kuwakosesha watu utulivu na usingizi? 🤣🤣
unaona dogo hilo? Airport zilijaa abiria wakikimbia kutoka Israel. Ndege 87 zimeondoka ile siku moja tu kuelekea nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom