Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe. 😂😂😂
Makombora aliyotumia Iran yote ni mapya Lengo likiwa ku evade missile defense lakini zilishindwa.
Iran walitumia Kheibar ballistic missile hii walilizindua mwaka juzi 2022. Hili ni Hypersonic ballistic missile linakimbia mara 16 zaidi ya kasi ya sauti.
Kheibar Shekan ballistic missiles and Emad ballistic missiles were also used in the attack, according to IRNA. Kheibar Shekan missiles, unveiled in 2022, are one of Iran's most modern ballistic missiles, IRNA said, and the Emad missiles can carry a payload of 1,600 pounds. The state news agency said the cruise missiles used in the attack were Paveh missiles, which it said were capable of attacking targets from multiple directions by taking varied paths.
Details emerge of Iran's unprecedented direct attack on Israel, and how it was largely thwarted by the U.S. ally's defenses.
www.cbsnews.com
Bado wakatumia Emad ballistic missile hili nalo ni la juzijuzi likashushwa ndo ujue air defenses za myahudi sio za mchezo.
[URL unfurl="true" media="youtube:ADbQlXM0
Wakati huohuo Jana Russia kapigwa ATACAMS kwenye kambi yake inayolindwa na S400 wameshindwa kuyaintercept 😂
View: https://twitter.com/Tendar/status/1780454176633262390?t=8zo8GwTkShErni7UAYLaOg&s=19