๐ ๐ Wabongo bhana.....Kama yeye ni mwanaume kweli angetakiwa ajibu ili aneshewe sasa picha kamili......mpaka muda huu kaufyata mkia........ hawezi kuthubutu kujibu........sio yeye wala mabwana zake ulaya
Ila ukiwa mfuasi kindakindaki wa Mudy lazima sometime uwe kama hamnazoKama yeye ni mwanaume kweli angetakiwa ajibu ili aneshewe sasa picha kamili......mpaka muda huu kaufyata mkia........ hawezi kuthubutu kujibu........sio yeye wala mabwana zake ulaya
Jaribu kuheshimu maoni ya wengine hata kama yanakinzana na utashi wako....haya ni majukwaa tu...,..Ila ukiwa mfuasi kindakindaki wa Mudy lazima sometime uwe kama hamnazo
Swali la kwanza la muisrael na baba yake america je yatafika?baada ya kufika sasa amekubali na mzigo utakofuata ni kasi ya mwanga wa radi ukiwaka limefika kaa tayari kwa maafa!Kwa technologia yasasa huwezi kufanikiwa na vikombola alivyotumia Iran dhidi ya israel'.
Iran hawakuwa serious. Hivi kweli wanatudanganya na vikombola vyao uchwala kwamba wanalipiza kisasi
Vikombola na vidrone vinamwendo wa km 40 kwa saa alafu eti unamtishia Israel.
Tuzungumze ukweli, Iran Kachemka. Nilitegemea angalau angetumia hypersonic moja tu tuone ubora wa Israel kiulinzi
All in All tusishabikie Vita
๐ Hebu tuonyeshe hio habari ya Iran inasema katumia hypersonicUnabwabwaja sana wakati huna uthibisho.
Iran wenyewe kupitia chaneli yao ya Taifa walithibisha kutumia halafu ww mbongo toka Tandale kwa tumbo unabisha, Kheibar sio Mara kwa kwanza kutumika lilitumika mapema mwaka huu Syria na Iraq kama kisasi baada ya Iran kushambuliwa na IS.
Iran's state news agency, IRNA, said its domestically built Shahed 131 and 136 drones were used in the attack, the larger of which have a range of around 1,200 miles.
Kheibar Shekan ballistic missiles and Emad ballistic missiles were also used in the attack, according to IRNA. Kheibar Shekan missiles, unveiled in 2022, are one of Iran's most modern ballistic missiles, IRNA said, and the Emad missiles can carry a payload of 1,600 pounds. The state news agency said the cruise missiles used in the attack were Paveh missiles, which it said were capable of attacking targets from multiple directions by taking varied paths.
What Iran launched at Israel in its unprecedented attack, and what made it through the air defenses
Details emerge of Iran's unprecedented direct attack on Israel, and how it was largely thwarted by the U.S. ally's defenses.www.cbsnews.com
Halafu tulishawaambia Israel siku zote haombi ruhusa, hutoa taarifa tu iwe kwa Marekani au yeyote yule.
View: https://youtu.be/npCDk5S5fcY?si=9ZZcFnkZB_dmjmnd
Wegni mnakurupuka, Iran hakuwa na nia ya Kuleta madhara, angetaka kushambulia serius sio kwamba hana fighter jets zinazoweza kupeleka payload ya maana kwa ambush. Pili acha uongo hamna drone inaenda 40km/hr.Kwa technologia yasasa huwezi kufanikiwa na vikombola alivyotumia Iran dhidi ya israel'.
Iran hawakuwa serious. Hivi kweli wanatudanganya na vikombola vyao uchwala kwamba wanalipiza kisasi
Vikombola na vidrone vinamwendo wa km 40 kwa saa alafu eti unamtishia Israel.
Tuzungumze ukweli, Iran Kachemka. Nilitegemea angalau angetumia hypersonic moja tu tuone ubora wa Israel kiulinzi
All in All tusishabikie Vita
Wewe ni miongoni mwa waandishi mtakao andika Israel Yazuia makombora 99% ya Iran na kuacha kusema ilisaidiwa na nchi zaidi ya 5.makombora mengi yalizuiwa, huo ndio uhalisia.
Ndo maana nakwambia unabwabwaja bila kua na taarifa kamili.๐ Hebu tuonyeshe hio habari ya Iran inasema katumia hypersonic
View: https://youtu.be/P56-wIZimKY?si=5d5VxGX14Y8VMVce
Wewe nipe wapi Iran kasema alitumia Fattah hypersonic.Ndo maana nakwambia unabwabwaja bila kua na taarifa kamili.
Haya bishana na Iran state media bhas
Kheibar Shekan ballistic missile is one of Iran's most modern ballistic missiles.
It is an Iranian solid-fuel ballistic missile unveiled by the Islamic Revolution Guards Corps Aerospace Force in 2022 and it has the ability to hit targets with a range and a radius of 1,450 kilometers (900 miles).
Drones and missiles used in Iranโs operation against Israel
Tehran, IRNA โ The Iranian anti-Israel unprecedented airstrike, dubbed Operation True Promise, has hit specific targets in the occupied territories with suicide drones and ballistic plus cruise missiles.en.irna.ir
Mimi mwenyewe nimeshangaa eti kombola likiwa linakaribia kwenye target linatumia 3000km zaidi ya saa 1 haha tena hapo ndo speed imeongezeka.Kwa technologia yasasa huwezi kufanikiwa na vikombola alivyotumia Iran dhidi ya israel'.
Iran hawakuwa serious. Hivi kweli wanatudanganya na vikombola vyao uchwala kwamba wanalipiza kisasi
Vikombola na vidrone vinamwendo wa km 40 kwa saa alafu eti unamtishia Israel.
Tuzungumze ukweli, Iran Kachemka. Nilitegemea angalau angetumia hypersonic moja tu tuone ubora wa Israel kiulinzi
All in All tusishabikie Vita
Hio ni training ground kijana angalia vizuri
Shekhe mbona jazba?!Wewe nipe wapi Iran kasema alitumia Fattah hypersonic.
Yani wewe unaenda kutuletea infom kwenye Google c ujinga hu kuhusu range wote tunajua, wewe tueleze wapi Iran kasema katumia Hypersonic Missiles zake?
Khebar c hypersonic missiles tulicho kuwa tunabishana na wewe ulisema, Iran hana hypersonic missiles.
Ukarukia missiles zilizo piga Iran ni mpya nikakuambia silaha alizotumia Iran ni za zaman hio Khebar Shekan katumia ni ya zaman ni copy ya missiles za nyuma ndio mana inaitwa khebar 4 kuanzwa kuwa toleo la 2022 c kwamba ni mpya we bwege.
Unarukia huku na kule kujifanya mjuzi haya tuambie Iran katumia khebar 4 missiles ngapi? Na ghadir ngapi?