We
We jamaa ni lipumbavu sana, hiyo picha inaonyesha ramani ya Ukraine. Hakuna kitu kingine zaidi kama una hoja lete hoja. Acha ujinga
Ukraine kubwa sana nilishangaa rais wao alivyosema eneo walilokamata Russia ambayo ni 20% sawa na nchi ya ubelgijiWe
We jamaa ni lipumbavu sana, hiyo picha inaonyesha ramani ya Ukraine. Hakuna kitu kingine zaidi kama una hoja lete hoja. Acha ujinga
Kombora halikubeba attendance, it just blew up their ass ,ngoja wahesabiane tutajua exactly majina Yao na idadi.Hawana majina hao magenerali? Ukraine ikiua nataja majina hadi picha
Propaganda tu hizo
Majenerali wa Ukraine itakuwa walikuwa wanajadilili namna ya kusalimu amri katika vita.Kwa idadi hiyo jeshi la Ukraine itakuwa limebakiwa na kruta watupu na wengi wao sasa wanakimbia uwanja wa vita.Urusi imetumia yale makombora yake pendwa ya Kalibr kushambulia mkusanyiko wa majenerali na maaafisa wa juu wa jeshi la Ukraine waliokuwa wamekutana kwa ajili ya kikao cha siri karibu na kijiji cha Shirokaya Dacha kwenye mkoa wa Dnepropetrovsk.
Zaidi ya maafisa 50 wakiwemo majenerali wa jeshi la Ukraine wameuawa kwenye shambulio hilo.
Pia makombora hayo ya Kalibr yametumika kushambulia na kuteketeza pisi kumi za howitzer za Marekani na magarivita karibu 20 ya nchi za magharibi yaliyoingizwa Ukraine kama msaada na kuhifadhiwa huko Nikolayev.
=====
View attachment 2265724
View attachment 2265736
🤣🤣🤣 So hiyo ni nukuu ama imethibitishwa na mtangazaji?jifunz kutofautisha nukuu na taarifa iiyothibitishwa na mtangazaj
DW na majina inamaana bomu limebeba na attendance eti??? Ujinga ulioje,majina majina, we umeambiwa wamepigwa missile from a distance then wameua, na mnasemaga Mrusi kumpga Ukraine si story,wao majina wanataka waprove nni???tulia dawa iwaingie ZZZZLeta source ya chombo cha magharibi kilicho ripoti, na mtaje majina ya majenerali kama ambavyo tunataja wa Urusi moja kwa moja.
🤣🤣🤣Huyu jamaa anajikuta Muukraine kabisaaa,eti hainiumizi kichwa 🤣🤣🤣Hii pole ingekua ya maana kama mngefaulu kuiteka Kyev, lakini kwa sasa hata mfanye nini maporini na tumiji twa mipakani wala hainiumizi kichwa.
DW na majina inamaana bomu limebeba na attendance eti??? Ujinga ulioje,majina majina, we umeambiwa wamepigwa missile from a distance then wameua, na mnasemaga Mrusi kumpga Ukraine si story,wao majina wanataka waprove nni???tulia dawa iwaingie ZZZZ
🤣🤣🤣Huyu jamaa anajikuta Muukraine kabisaaa,eti hainiumizi kichwa 🤣🤣🤣
Wale wanaojulikana majina ni wale waliouwawa ktk battle filed, waliufanyiwa ambush na maiti zao kukaguliwaTuliwapa majina ya majenerali wa Urusi, nyie mumejifichia kwenye ngonjera, leta surce na majina la sivyo fyata.
Sasa mlijuaje ni majenerali kama mlituma kombora likapiga jengo sehemu, siamini Urusi wameshuka daraja hiki cha ngonjera.Wale wanaojulikana majina ni wale waliouwawa ktk battle filed, waliufanyiwa ambush na maiti zao kukaguliwa
Hao majenerali wa ukrane hawakuwa ktk battle filed, walitumiwa kombola la kalibr na kombola haliwezi kujua majina ya majenerali
RUSSIA TAIFA TEULESasa mlijuaje ni majenerali kama mlituma kombora likapiga jengo sehemu, siamini Urusi wameshuka daraja hiki cha ngonjera.
RUSSIA TAIFA TEULE
Picha watoe wapi wakati Majenerali waliokufa walifia kwenye movie na games za kwenye simu. Ground huku wanakwambia kombora halikuwa na attendance. Mbona Ukraine ikiua maafisa Warusi inataja majina na picha inatoa. Hata ikishambulia meli inawaacha wanakana kisha unaona footage za Bayraktar hizo zinasambaa mtandaoniHata picha jamani
informer wetu wetu alitupasha na setilaiti ikathibitisha ndipo tukatuma kalibr kumaliza mchezoSasa mlijuaje ni majenerali kama mlituma kombora likapiga jengo sehemu, siamini Urusi wameshuka daraja hiki cha ngonjera.
informer wetu wetu alitupasha na setilaiti ikathibitisha ndipo tukatuma kalibr kumaliza mchezo