I hope umesikia taarifa kamili vizuri leo ndiyo imeelezwea vizuri kwenye international TV news channels zote. Ukraine wenyewe wametuma hilo kombora, lakini inadaiwa ilikuwa accident. How it happened, sijui kwa kweli.sasa hii imekaaje mkuu
maana Poland ipo nyuma ya Ukraine sasa Ukraine anavotaka kushambulia makombora yanyotoka Urusi inakuaje yanaangukia tena nyuma!!!
View attachment 2418933
Jana naa leo mmeshafafanuliwa kuhusu Cnvention ya UN inaitwa New york Convention ya mwaka 1973.kherson ipo mashariki kashindwa lenga alipo mshukiwa wake kaenda kulenga karib na Poland , huu sio ukichaa ? inaonesha alipo Zele Pana defence kali sana