Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko Arusha, najua utendaji kazi wake, hapa kuna maonesho ya kibiashara kuanzaa kesho ameyaandaa vizuri sana, wajasiriamali wengi watanufaika kuuza bidhaa zao, Arusha hakujawahi kuwa na kiongozi kama Makonda.Kuuza uji ni ubunifu au ujinga,mi namuona ni mpenda attention tu ,hakuna jambo la maana hapo
GT unawashangaaga sana hii mijitu.Duh
Ova
Kuuza uji?Paul Makonda ni Mwamba Kwelikweli huyu Jamaa. Ni chuma hasaa. Yaani ukimuangalia tu unajua kweli huyu ni kiongozi na Mtumishi wa watu.