Makonda alivyonusurika kumwagiwa maji na watangazaji wa Clouds

Unasemaje?
 

Precisely.
 
Afu huo muda alioenda clouds si ulikua muda wa kazi??
Ofisini wanafanya kazi kweli?
Afu ukute apo alienda kwa kutumia gari na mafuta ya serikali
 
Uyo alitakiwa apelekwe kagera kwa wahaya huko wangewezana kwa sifa
 
Hapa nimegundua kwanini makonda issue ya madawa alikurupuka...elimu yake ni zero..ni mtu anaefanya kazi bila ueledi

Sasa serikali hii kupitia mama Ndalichako na Magufuli wasipotupa jibu la Makonda na kufoji vyeti..ndio mwanzo wa kudhalau utawala huu

Watu wengi walifukuzwa kwa hoja ya vyeti..Je makonda ni sahihi kutumia vyeti fake??? Au kwa kuwa ndio informer wa ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…