Makonda amerejea baada ya likizo

Makonda amerejea baada ya likizo

Kwa jinsi hulka na tabia zake za kupenda masifa, manjonjo na matambo, aingie bila kuwazodoa walokuwa wanamnanga na kumsema!!! Kwanza nashangaa kutojitokeza ppt kwenye mitandao hadi xaxa kuwazodoa wasompenda. Au ni mwingine aloonekana? Yote kw yote, inakuaje vyombo husika kuziba midomo yao kihivo... nk?
 
Back
Top Bottom