Makonda ampandisha cheo Afisa Mtendaji kuwa msaidizi wa Mkuu wa Mkoa kwa kufuatilia vizuri matatizo ya wananchi

torosi

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2020
Posts
862
Reaction score
1,430
Habari wakuu,

RC Makonda leo kampandisha cheo afisa mtendaji kuwa msaidizi wa mkuu wa mkoa papo hapo baada ya kumona anajua na kuelezea vizuri kero za wananchi wake

Afisa kala shavu ofisi ya mkuu wa mkoa, na kesho ana ripoti ofisi ya mkuu wa mkoa.

Swali langu atafanya kazi kama nani pale na kwa salary scale ipi?

Siasi sio uadui
Jumanne njema
 
Hivi watanzania tuna laana ama hii nchi imejaa machizi???Hivi kero tunazoona watu wanalia hawajapata haki unakuta bado kuna mbulukenge inakuja kutukana Makonda...dah.. Mnataka viongozi wasio wasikiliza sometime unaona ni bora tu viongozi wanavyoyaburuza ma tz maana akili ni sifuri bin zero
 
Ni kweli kabisa, ukombozi wa blacks kwenye maisha ni ngumu sana.. unafiki umekithiri. Makonda anajitahidi kupunguza maumivu ya wanyonge, lakini bado wanampiga vita..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…