Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Sio maneno yangu. Ni mazungumzo ya raia wema waliokuwa wakijadili kuhusu utendaji kazi wa mkuu wa mkoa wa Arusha ndugu Paul Makonda.

Mmoja wa wananzengo hao alisema, "wenzetu wamepata mkuu wa mkoa, sijui kwanini wa kwetu hawaigi kutoka kwake? Angalia jinsi anavyotatua kero za raia. Hivi kwanini wengine wasiige?"

Ama kweli inawezekana huyu ndugu yetu ana nyota kali sana ya kukubalika au tuseme ana ngekewa/bahati.
 
Sio maneno yangu. Ni mazungumzo ya raia wema waliokuwa wakijadili kuhusu utendaji kazi wa mkuu wa mkoa wa Arusha ndugu Paul Makonda.
Mmoja wa wananzengo hao alisema, "wenzetu wamepata mkuu wa mkoa, sijui kwanini wa kwetu hawaigi kutoka kwake? Angalia jinsi anavyotatua kero za raia. Hivi kwanini wengine wasiige?"

Ama kweli inawezekana huyu ndugu yetu ana nyota kali sana ya kukubalika au tuseme ana ngekewa/bahati.
Tulikuonya kuacha kukaa vijiwe vya kahawa pale ferry!! Hizo kahawa za hapo wanachanganya na bangi
 
Dogo anapiga kazi ila Ana makando kando mengi sana kuhusu kudhulumu watu kwa mabavu! Kuvunja haki za binadamu! Na pili kutofuata sheria

Britanicca

Unaweza kutuwekea orodha ya majina matatu, au mawili tu ya viongozi waliopo madarakani ambao wamekidhi vigezo vyote vya uchapakazi, uadilifu, utawala Bora, kutii Sheria, uzalendo n k?
 
Nipe kashfa
Ya kuua ya Bashungwa au Hussein Mwinyi,?
Kuua ni moja kati ya mapungufu/ kashfa nilizozitaja hapo juu.

Huyo wa mwisho ana afadhali, zingatia neno afadhali. Hapo nimeongelea kwenye ufisadi/ upigaji. Indirectly

Kuhusu wa kwanza sijawahi kuzingatia, najua ntafanya homework.

Ahsante Kwa uthubutu wa kutaja Hawa jamaa japo Kwa uchache.
 
Ndo mana hii nchi kila siku itaendelea kuwa maskini. Badala mzungumzie kutengeneza mifumo imara kupitia Katiba Bora kila siku mnahangaika humu kuongelea watu!

Hii nchi ujinga ni kipaji!
Kwa hiyo tusijenge mifumo imara ya kutatua kero za wananchi tuishie kutegemea mtu mmoja?

Ndo mana Wazungu wanatuita manyani!
 
Ndo mana hii nchi kila siku itaendelea kuwa maskini. Badala mzungumzie kutengeneza mifumo imara kupitia Katiba Bora kila siku mnahangaika humu kuongelea watu!

Hii nchi ujinga ni kipaji!
Kwa hiyo tusijenge mifumo imara ya kutatua kero za wananchi tuishie kutegemea mtu mmoja?

Ndo mana Wazungu wanatuita manyani!
Mifumo imeharibiwa sn na CCM
 
Sio maneno yangu. Ni mazungumzo ya raia wema waliokuwa wakijadili kuhusu utendaji kazi wa mkuu wa mkoa wa Arusha ndugu Paul Makonda.

Mmoja wa wananzengo hao alisema, "wenzetu wamepata mkuu wa mkoa, sijui kwanini wa kwetu hawaigi kutoka kwake? Angalia jinsi anavyotatua kero za raia. Hivi kwanini wengine wasiige?"

Ama kweli inawezekana huyu ndugu yetu ana nyota kali sana ya kukubalika au tuseme ana ngekewa/bahati.
Ni maneno ya raia? Unajua tofauti ya raia na uongozi wa hii nchi? Raia hawawez ku influence changes kwenye uongozi , ungozi ndio unaamua nani awe hata kama hawampendi

Although anafanya kazi but wajiandae kuwa suprised
 
Back
Top Bottom