Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?

Dogo anapiga kazi ila Ana makando kando mengi sana kuhusu kudhulumu watu kwa mabavu! Kuvunja haki za binadamu! Na pili kutofuata sheria

Britanicca
Madai yote hayo ya kijinai hayajawahi kuthibitishwa.

Mwenye kinga ya kesi ni Rais wa nchi tu, raia mwingine hakwepi viunga vya mahakama.

Na ndiyo sababu tulio mbali na maeneo anayodaiwa kufanyia tuhuma za kijinai huona kuwa hizo ni fitina zenye mrengo wa kumharibia ama kuidhibiti 'pace' yake ya harakati.

Ingawa naelewa kuwa mahakama si vijiwe vya kupigia soga, lakini sasa hata kina Gsm wenye 'ukwasi zao', walifurukuta kidogo tu kisha wakajiondoa wenyewe kushitaki, tena jamaa akiwa keshatoka kabisa madarakani, why why why?

Nishaona Tz kiongozi yeyote mwenye msimamo huzushiwa zengwe lenye tuhuma za kutisha na kuhuzunisha.
 
Maneno tu yasiyo na ushahidi! Mwamba huyo subiri muda haudanganyi!
Kama Marekani huwa wana athari kwenye uchaguzi wa Rais basi Makonda anaweza kukutana na kipingamizi au kikwazo cha USA kwa tuhuma walizompa.
 
Madai yote hayo ya kijinai hayajawahi kuthibitishwa.

Mwenye kinga ya kesi ni Rais wa nchi tu, raia mwingine hakwepi viunga vya mahakama.

Na ndiyo sababu tulio mbali na maeneo anayodaiwa kufanyia tuhuma za kijinai huona kuwa hizo ni fitina zenye mrengo wa kumharibia ama kuidhibiti 'pace' yake ya harakati.

Ingawa naelewa kuwa mahakama si vijiwe vya kupigia soga, lakini sasa hata kina Gsm wenye 'ukwasi zao', walifurukuta kidogo tu kisha wakajiondoa wenyewe kushitaki, tena jamaa akiwa keshatoka kabisa madarakani, why why why?

Nishaona Tz kiongozi yeyote mwenye msimamo huzushiwa zengwe lenye tuhuma za kutisha na kuhuzunisha.
Jinai haifi huyu jela inamsubiri
 
Dogo anapiga kazi ila Ana makando kando mengi sana kuhusu kudhulumu watu kwa mabavu! Kuvunja haki za binadamu! Na pili kutofuata sheria

Britanicca
Uliwahi kuona kwa macho na ukathibitisha hilo? Ulikuwepo? Huamini kua kuna matajiri pia wanauwezo wa kumtengenezea mtu story ya kumvuruga? Lakini cha msingi kuliko yote uliona wakati anawadhulumu watu?
 
Back
Top Bottom