aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Kuna jamaa nimekutana nae ambaye ni mpiga picha binafsi wa bwana Makonda ndio ameninyetisha kuwa jamaa anataka nayeye 2025 agombee urais,anachokifanya sasa ni kusaka sifa kuwapiku kina Makamba na Mwigulu.
Analengo 2020 agombee ubunge ameambiwa atapewa uwaziri wa TAMISEMI.
Analengo 2020 agombee ubunge ameambiwa atapewa uwaziri wa TAMISEMI.