Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Mwenye albamu ya Mr Ebbo naomba anitumie natafuta wimbo mmoja hivi unaenda kwa jina la "BANGI BWANA"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu amrehemuKuna jamaa nimekutana nae ambaye ni mpiga picha binafsi wa bwana Makonda ndio ameninyetisha kuwa jamaa anataka nayeye 2025 agombee urais,anachokifanya sasa ni kusaka sifa kuwapiku kina Makamba na Mwigulu.
Analengo 2020 agombee ubunge ameambiwa atapewa uwaziri wa TAMISEMI.
mh?2025 ni zamu ya wenzetu wa bakwata
hhahahaha u made my day mkuuYeye ajenge mtandao tu tena asisahau kujenga na minara ya kutosha lkn asisahau kesi zinzomkabiri. Kama angekuwa mzima kichwani angemshukuru Mungu kufikia hatua aliyonayo maana naona kutoka kwenye nafasi aliyonayo sasa hawezi kupanda hata hatua moja zaidi ya kuporomoko. Wakati utatuambia
Jaribu kusoma tena na tena na tena, utagundua yupo upande wakoWewe pasco maneno yako hua hayafananii na haiba yako. Jionee aibu siku moja basi.
Heshima yako inashuka mkuu au unataka ukuu wa Wilaya ya Uyui sio yule Pasco Malaya niliyekuozoea toka nipo shuleAnatufaa sana!, urais sasa ni hati miliki ya Kanda ya Ziwa!, nilimuombea u RC wa DSM, ombi langu likakubaliwa, muda ukifika, nitamuombea urais, kama nilivyomuombea Magufuli akashinda!.
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pasco
Njaa mbaya mkuu.Heshima yako inashuka mkuu au unataka ukuu wa Wilaya ya Uyui sio yule Pasco Malaya niliyekuozoea toka nipo shule
Nimeona neno "Hati Miliki". Nimekuelewa..Anatufaa sana!, urais sasa ni hati miliki ya Kanda ya Ziwa!, nilimuombea u RC wa DSM, ombi langu likakubaliwa, muda ukifika, nitamuombea urais, kama nilivyomuombea Magufuli akashinda!.
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Pasco