Makonda anazungumzia Yesu kufa msalabani na damu yake kumtakasa katika mkutano wa Mchengerwa!

Makonda anazungumzia Yesu kufa msalabani na damu yake kumtakasa katika mkutano wa Mchengerwa!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Nimeona clip ya Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa anahutubia katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa akisema hajali kusemwa vyovyote na wanasiasa wengine kwa sababu pale msalabani Yesu alikufa akamwaga damu yake na akamtakasa, kwamba akisemwa anaitazama damu ya Yesu iliyomwagika!
 
Nimeona clip ya Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa anahutubia katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa akisema hajali kusemwa vyovyote na wanasiasa wengine kwa sababu pale msalabani Yesu alikufa akamwaga damu yake na akamtakasa, kwamba akisemwa anaitazama damu ya Yesu iliyomwagika!
Angalikuwa katoa muislam mpangalipiga kelele. Yule wa chadema mpaka chadema wenyewe wamekuja juu.
 
Nimeona clip ya Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa anahutubia katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa akisema hajali kusemwa vyovyote na wanasiasa wengine kwa sababu pale msalabani Yesu alikufa akamwaga damu yake na akamtakasa, kwamba akisemwa anaitazama damu ya Yesu iliyomwagika!
Kila alitajaye jina la bwana na aache uovu.
 
Nimeona clip ya Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa anahutubia katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa akisema hajali kusemwa vyovyote na wanasiasa wengine kwa sababu pale msalabani Yesu alikufa akamwaga damu yake na akamtakasa, kwamba akisemwa anaitazama damu ya Yesu iliyomwagika!
Damu zisizo na hatia alizoshiriki kumwaga zitamsumbua maisha yake yote yeye na kizazi chake.
 
Huyo DAUDI ALBERT BASHITE bingwa wa unafiki, atuonyeshe baba yakemzazi aitwaye Christopher Makonda au ndugu yake yeyote wa kuzaliwa na baba yake mzazi.
Hili jambazi lililofoji jina lake kazi yake kufanya kazi ya kuua wapinzani
 
Nimeona clip ya Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa anahutubia katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa akisema hajali kusemwa vyovyote na wanasiasa wengine kwa sababu pale msalabani Yesu alikufa akamwaga damu yake na akamtakasa, kwamba akisemwa anaitazama damu ya Yesu iliyomwagika!
Ni kweli huyu ni mpakwa mafuta wa Bwana.
p
 
Huyo DAUDI ALBERT BASHITE bingwa wa unafiki, atuonyeshe baba yakemzazi aitwaye Christopher Makonda au ndugu yake yeyote wa kuzaliwa na baba yake mzazi.
Hili jambazi lililofoji jina lake kazi yake kufanya kazi ya kuua wapinzani
Kama kuna ushahidi wa yeye kuhusika kwenye mauaji na utekaji achukuliwe hatua za kisheria kwani hakuna aliye juu ya Sheria.
 
Huyu ana tuhuma nyingi - mosi ni kiranja wa wasijulikana.
Yaani wasiojulikana wanariport kwake.
 
Back
Top Bottom