troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,551
- 2,573
Toa proof ya haya unenayo,ukishindwa jiite mbwa kokoDamu zisizo na hatia alizoshiriki kumwaga zitamsumbua maisha yake yote yeye na kizazi chake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa proof ya haya unenayo,ukishindwa jiite mbwa kokoDamu zisizo na hatia alizoshiriki kumwaga zitamsumbua maisha yake yote yeye na kizazi chake.
Mkuu hivi ni lini huo ushahidi wa kweli ambao Tundu Lissu na wengine wengi kila uchao wanadai huyu kijana ni muuaji watautumia kumtia hatiani?Ni kweli huyu ni mpakwa mafuta wa Bwana.
p
Nani anayeutaka huo ushahidi ikiwa wenye mamlaka ya kumshitaki ndio watuhumiwa wakuu wanayemtuma ALBERT BASHITEKama kuna ushahidi wa yeye kuhusika kwenye mauaji na utekaji achukuliwe hatua za kisheria kwani hakuna aliye juu Sheria.
Maajabu ni kwamba maneno hayo yanaweza kuwa na maana kubwa sana kwa baadhi ya watu.Anaanza kujishtukia..
Atasema mengi
Ni swala muda..
Hakuna lolote ni wivu tuu dhidi ya mafanikio yake! Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuzeMkuu hivi ni lini huo ushahidi wa kweli ambao wanadai huyu kijana ni muuaji watautumia kumtia hatiani?
SualaAnaanza kujishtukia..
Atasema mengi
Ni swala muda..
Kwani aliyeambiwa ni mkristo?Angalikuwa katoa muislam mpangalipiga kelele. Yule wa chadema mpaka chadema wenyewe wamekuja juu.
Kweli 🙏👍Sisi Wasukuma sio miongoni mwa makabila yenye ukabila mbaya kosa letu ni moja tuu, ni wakweli daima. Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi!
P
Makonda akasome Hili andiko kutoka Galatia 6:7 "Msidanganyike Ndugu zangu, Mungu adhihakiwi kwa kuwa chochote ambandacho mtu ndicho atakachovuna" Zingatia neno chochoteToa proof ya haya unenayo,ukishindwa jiite mbwa koko
Ni bwana yupi huyo aliyempaka BABY OIL asije kuwa DiddyNi kweli huyu ni mpakwa mafuta wa Bwana.
p
Ila Makonda Debe tupu.Nimeona clip ya Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa anahutubia katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa akisema hajali kusemwa vyovyote na wanasiasa wengine kwa sababu pale msalabani Yesu alikufa akamwaga damu yake na akamtakasa, kwamba akisemwa anaitazama damu ya Yesu iliyomwagika!
Anaweweseka na damu za watu aliowaua ndiyo maana haachi kutaja damuNimeona clip ya Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa anahutubia katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa akisema hajali kusemwa vyovyote na wanasiasa wengine kwa sababu pale msalabani Yesu alikufa akamwaga damu yake na akamtakasa, kwamba akisemwa anaitazama damu ya Yesu iliyomwagika!
Mumeo Makonda ni muuaji .Hiyo ni ishara kuwa anateseka moyoni .Damu za watu zina mlilia