Mshahara wa RC ni million 4, toa matumizi Kwa mwezi assume anatumia Milioni 2.5,Tulia upigwe spana hadi unyooke
Ametoa wapi pesa ya kujenga ghorofa kama Si wizi!!
Endelea kudanganywa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara wa RC ni million 4, toa matumizi Kwa mwezi assume anatumia Milioni 2.5,Tulia upigwe spana hadi unyooke
Kwani RC hana posho za safari na zingine nyingi? Kama mtu wa kawaida tena CHAWA tu kama Mwijaku anajenga ghorofa sembuse RC?Mshahara wa RC ni million 4, toa matumizi Kwa mwezi assume anatumia Milioni 2.5,
Ametoa wapi pesa ya kujenga ghorofa kama Si wizi!!
Endelea kudanganywa!!
Mwijaku Ile ni nyumba ya kuishi, tena Si yake.Kwani RC hana posho za safari na zingine nyingi? Kama mtu wa kawaida tena CHAWA tu kama Mwijaku anajenga ghorofa sembuse RC?
wakuu sijaelewa kabisa yaan Mkoa unatengewa b zaidi ya 20 halaf wenyew unatumia moja tuu kwa mwaka wa fedha ama!?
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuanzia sasa hadi Januari 1, 2025 atakuwa amekamilisha kazi ya kuwanyoosha watumishi wa umma wasiokuwa wazalendo na wanaotanguliza masilahi yao binafsi.
Makonda amemwomba Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi kwenda kumwombea kwa Rais Samia Suluhu Hassan amvumilie kwa kipindi hiki cha miezi sita.
Amesema hayo leo Jumatatu, Juni 3, 2024 katika mkutano wa hadhara wa Dk Nchimbi uliofanyika Soko la Kilombero, Arusha Mjini.
"Nikuhakikishie katibu mkuu, watakula spana za kutosha,”amesema Makonda.
Pia, amesema na ikifika Januari 1, 2025 atakuwa amekamilisha kazi na kama kutakuwa na mkoa mwingine yuko tayari kupelekwa.
Makonda amesema:"Amekuta mkoa huo kuna watumishi wasiokuwa wazalendo, hawataki kujituma, sio wote ila wengi wao wanatumia masilahi yao binafsi, naomba kaniombee kwa Rais, anivumilie kidogo, mfunge masikio nipige spana ili haki za wananchi zipatikane."
Katika kusisitiza hilo, Makonda amesema:"Nitawanyoosha mpaka kieleweke na ikifika Januari 1, 2025 utakuwa mkoa wa mfano."
Amesema kuna zaidi ya Sh20 bilioni zinazoweza kurudi serikalini zilizotolewa ili kutekeleza miradi mbalimbali lakini hazijatumika pasi na sababu za msingi huku wananchi wakilia kukosa huduma za afya, maji na elimu na hayuko tayari kuona hilo likitokea.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuanzia sasa hadi Januari 1, 2025 atakuwa amekamilisha kazi ya kuwanyoosha watumishi wa umma wasiokuwa wazalendo na wanaotanguliza masilahi yao binafsi.
Makonda amemwomba Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi kwenda kumwombea kwa Rais Samia Suluhu Hassan amvumilie kwa kipindi hiki cha miezi sita.
Amesema hayo leo Jumatatu, Juni 3, 2024 katika mkutano wa hadhara wa Dk Nchimbi uliofanyika Soko la Kilombero, Arusha Mjini.
"Nikuhakikishie katibu mkuu, watakula spana za kutosha,”amesema Makonda.
Pia, amesema na ikifika Januari 1, 2025 atakuwa amekamilisha kazi na kama kutakuwa na mkoa mwingine yuko tayari kupelekwa.
Makonda amesema:"Amekuta mkoa huo kuna watumishi wasiokuwa wazalendo, hawataki kujituma, sio wote ila wengi wao wanatumia masilahi yao binafsi, naomba kaniombee kwa Rais, anivumilie kidogo, mfunge masikio nipige spana ili haki za wananchi zipatikane."
Katika kusisitiza hilo, Makonda amesema:"Nitawanyoosha mpaka kieleweke na ikifika Januari 1, 2025 utakuwa mkoa wa mfano."
Amesema kuna zaidi ya Sh20 bilioni zinazoweza kurudi serikalini zilizotolewa ili kutekeleza miradi mbalimbali lakini hazijatumika pasi na sababu za msingi huku wananchi wakilia kukosa huduma za afya, maji na elimu na hayuko tayari kuona hilo likitokea.
Mjanja kasikia wana mpango wa kumtoa Kaamua kuwashtaki kwa wananchiSi alisema akiwa mkuu wa Mkoa hata Kwa siku inatosha, anaomba miezi 6 ya nini?
Soma habari vizuri, kama hujaelewa kwanini, utakuwa ulienda shule kusomea ujinga.Si alisema akiwa mkuu wa Mkoa hata Kwa siku inatosha, anaomba miezi 6 ya nini?
Hizi ishu za kurudisha pesa wanapenda sana watumishi sijui ni kwanini aisee.kama ni kweli, mkoa umepangiwa Bi 21 wakatumia Bi moja na Bi 20 wanarudisha, halafu mwaka ujao wa fedha wapangiwe tena Bi 21, inamaana watakuwa wamepewa Bi 1 (na kurudishiwa zile 20 walizorudisha)???
Huku kuna miradi kibao ya Hospitali na mashule yapo katika hatua mbalimbali za ujenzi kwa kukosa fedha???
Kuna shida sana huku mikoani...zinazohitaji kutengenezewa dawa/suluhisho la kudumu...