Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 808
- 878
Kaka nielewe Kuna lugha ambazo kiongozi anatakiwa atumie,kwangu Kama kiongozi amepotoka sanaUnakumbuka chanzo cha Maghufuri kutaka Kumvua Nyota zote Afisa wa Magereza kule Mwanza...!?
Ni sababu zile zile zilizomfanya Makonda aseme aliyosema....!
Kuna namna yule Dada alikua anaongea utadhani hajui kuwa anaongea na Boss wake, anajibu kishkaji sana.