Makonda aondolewe kwa udhalilishaji wa wanawake. Amewadhalilisha wanawake na rais wetu pia

Kaka nielewe Kuna lugha ambazo kiongozi anatakiwa atumie,kwangu Kama kiongozi amepotoka sana
 
Alivyokuwa akimjibu bosi wake alivyojibiwa ni HAKI yake,wanamajibu mabovu wakijibiwa ipasavyo kimbilio khaki za binadamu....
 
makonda is a rubbish.

OVER
 
Kuna watu wa namna hio ambao ili atoe kitu mdomoni lazima atukane au atumie lugha harsh
 
 
Acheni kulea uzembe kwa kujificha kwenye udhalilishaji.
 
Makonda hana kosa.kuposwa siyo kosa.kama mmechukia nendeni mahakamani au mnywe sumu.
 
Wapumbavu mmeanza tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…