Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Tunapaswa kuyaishi maandiko matakatifu. Ndio maana tumeandikiwa yatuongoze. Hata viongozi wanapoapa wanaapa kwa kutumia maandiko matakatifu ili wayatumie kuwaongoza katika maisha yako. Kutumia gari au simu uliyopewa sio dhambi. Sawa na kutumia maandiko tuliyopewa...ushamba huo,usikejeli maandiko matakatifu