Makonda aongeza saa moja katika usiku wa tigo fiesta Dar

Anatugeuza geuza km chapati hata sheria haifatwi kunywa chake ndiyo sheria.
 
Kuna taarifa zinasambaa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anadai ameongeza muda wa kumalizika kwa Tamasha la FIESTA litakalofanyika 25/11/2017 katika viwanja vya LEADERS CLUB jijini Dar es Salaam kutoka saa 6:00 usiku hadi saa 7:00 usiku.

Soma Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) za mwaka 2005, kanuni namba 27 inayohusu Kumbi zote za Maonesho ya Sanaa hapa chini. Makonda aache kutafuta Kiki, muda wa saa 7:00 usiku upo kwa mujibu wa kanuni za BASATA na siyo huruma yake.
 
Kabisa mkuu, wapi Sadam Hussein, wapi Gadaffi, Wapi Sitta,wapi Ditopile,.....
Hahah haha jipeni Moyo tu,Maisha hayasimami,yanaendelea hata ww kama kufa utakufa na hujui kwa kifo gani so kila kitu na wakati wake
 
Hii ni baada ya kutembelea kituo cha utangazaji cha clouds media na kuwapa pole kwa tukio lililowapata jana, kabla ya kuondoka akawaambia kua ameongeza saa moja zaidi hivyo badala ya saa sita mwisho itakua saa saba
Kweli huyu ndo ..... wa dar.
Neno lake ndiyo sheria
 
regional secretariat act 1997 ni sheria inayohitaji kufutwa na kutungwa upya
 
kwa upande mwingine fiesta ni kichocheo cha uzinifu na maambukizi mapya ya ugonjwa wa ukimwi.
 
tamasha la fiesta ni kichocheo cha ngono na maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi. Chukua tahadhari.
 
Hizi ni bylaws ambazo ziko chini ya mkuu wa mkoa. So Yes, anaweza kuzi amend kwa 'hati ya dharula'...
....Unaelewa maana ya bylaws kweli wewe? Hana uwezo wa kuvunja hiyo sheria but wanakanyaga sheria kama anavyofanya bosi wake.
 
HIYO SIKU, CLUB ZOTE ZITAPGA HADI SAA 7 MWISHO AU FIESTA PEKEE LAKIN ZNGNE ZNAKESHA? NAOMBA JIBU NA IMETUMIKA SHERIA IPI KUONGEZA NA KUPUNGUZA LISAA? MIMI NASHAURI WAKESHE TU.
Hicho kifungu cha Sheria ukipatiwa na mimi nakihitaji Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…