Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Aibu kwa taifaZero Brain inataka kuingia Mjengoni sio ?
Mkuu wa Mkoa Hana uhakika na ajira yake kama ilivyo kwa Gambo leo inategemea na maamuzi ya aliekuteua.Hivi mbunge wa jimbo na mkuu wa huo mkoa nani mkubwa au target ni uwaziri? Na je waziri na mkuu wa mkoa nani mkubwa? Au Target ni uspika?
Unamjua tayari Rais wa 2020-25?Kwa wakazi wa Kigamboni nakiri kusema itakuwa furaha sana kama Mh Makonda akiwa mbunge kupitia jimbo hili,
maana huyu jamaa yupo karibu sana na Mh Raisi hvyo atatumia ukaribu huo kufanya ushawishi wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kijamii ktk jimbo hili..!!!
Win Win situation, tumpe ubunge tukimbie kimaendeleo
Licha ya mapungufu yake lakn Baniani mbaya kiatu chake dawa
Asante sana mkuu,Hivi mbunge wa jimbo na mkuu wa huo mkoa nani mkubwa au target ni uwaziri? Na je waziri na mkuu wa mkoa nani mkubwa? Au Target ni uspika?
Ukiwa mbunge ni kifo tu ndio kitakuondoa au ufukuzwe uanachama.Mkuu wa Mkoa Hana uhakika na ajira yake kama ilivyo kwa Gambo leo inategemea na maamuzi ya aliekuteua.
Mbunge uhakika Mishahara Mkubwa, marupurupu na posho kubwa kubwa mwisho wa siku baada ya miaka mitano inapewa zaidi ya milioni 200 kiinua mgongo.
Isitoshe mbunge sio Mtendaji yeye kupiga mdomo tu kama Mlinga Msukuma ama Lusinde halafu unaonekana shujaa..
Unamjua tayari Rais wa 2020-25?