Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Licha ya Polepole kuwaonya wateuliwa wanaowinda ubunge wa Kigamboni taarifa za ndani zinasema bado Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mheshimiwa Makonda anapitapita kutafuta ubunge Kigamboni.
Kwa sasa mbunge wa kigamboni ni Faustine Ndugulile wa CCM.
Tazama pia kauli ya Polepole aliyoitoa miezi michache iliyopita
Kwa sasa mbunge wa kigamboni ni Faustine Ndugulile wa CCM.
Tazama pia kauli ya Polepole aliyoitoa miezi michache iliyopita