Makonda asimulia Jenerali Mabeyo alivyomuokoa kwenye sakata la makontena

Ama hakika Mungu ana kazi sana, kumbe kuna maombi ya kusambaratisha vikao vya usiku?

Hivi hio vita aliyo kuwa anapogwa ni kutoka jwa watu nje ya ccm ama ndani?

Ajabu mpiga vita nae alipigwa vita!

Iko wazi ni kutoka ndani ya ccm
 
kukaaa kimyaa nalo n jibu
Mh wangu makondaa jitahidi kusahau ya nyumaa mengine yanaweza kuharibu future Mungu aliokuwekea mbelen

ushauritu
Nkumbushe ulisema ulivyochaguliwa pale lumumba nimewasamehee wotee na kuwasahauuuuuuuuuuuuuuu

Mungu aliandoka hili neno kwenye kitabu chake akiamini ulichosema tusamehe maadui zetuu tuweze kutoboa zaidi
 
Unajua mimi hiki kitu kiliwahi kunishangaza sana kwamba Waziri wa Fedha anamjia juu Mkuu wa Mkoa hadharani wakati wote wawili wapo kwenye Seriukali? Hawa viongozi halishindwa nini kuongea wakiwa wawili ofisini?
Haya maelezo yanaweza kuwa yako sahihi
 
Unajua mimi hiki kitu kiliwahi kunishangaza sana kwamba Waziri wa Fedha anamjia juu Mkuu wa Mkoa hadharani wakati wote wawili wapo kwenye Seriukali? hawa viongozi halishindwa nini kuongea wakiwa wawili ofisini?
Haya maelezo yanaweza kuwa yako sahihi
Kukwepa kodi ni kosa kisheria,kama kiongozi wa umma kuna taratibu za kufuata kabla hujaagiza ili upate msamaha, taratibu hujafuata na wewe ni kiongozi unatakiwa uwe mfano, waziri mpango alisimamia sheria ya ushuru na forodha, huyo RC makonda anacheza na akili na za mazezeta ndo maana mpaka analeta kuna maombi ya kuvuruga vikao usiku,
 
Mimi naongelea approach ya namna walivyoli-epose swala lao kwa umma. Kama Mkonda hakujua taratibu za uagizaji, alitakiwa aelimishwe kabla hajaqgiza. Kwa nini asubiriwe hadi vifaa viwasili nchini kwanza halafu ndiyo mgogoro uanze?

Kwa sababu kwa sasa mimi ukiniambia kuwa hzi zilikuwa ni hujuma kwa Makonda ninakubali

Hii nchi kuna shida mahali fulani
 
= samani

Siyo "thamani". Samani ni fanicha, thamani ni "value".
 
Maombi ya misamaa ya kodi barua huwa zinaanzia kwa mkuu wa wilaya inapenya hadi kwa rc , alikua anajua taratibu zote,
 
Sijui kama Makonda anaelewa madhara ya kauli yake kwa baadhi ya watu
CDF anaingiaje katika makontena na si Waziri, IGP au Waziri Mkuu?

Ina maana kulikuwa na mawasiliano kati ya CDF na RC na sakata likamlizwa Ikulu 'kiutu' uzima.
Wale wanaotuhumu awamu ya mwendazake hawajapata neno hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…