Makonda asimulia Jenerali Mabeyo alivyomuokoa kwenye sakata la makontena


Mwendazake ametuachia miradi ya maana na kuheshimisha nchi yetu, hao wanaomtuhumu wanapoteza muda tu
 
MKUU wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amesimulia namna alivyookolewa na aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo katika sakata la makontena ya vifaa vya ofisi za walimu wa Dar es Salaam kwa kuwa
Hayo magari na matreka yametoka wapi? Yameingizwaje Bandarini? Yameagizwa na nani? Na hao waliotaka kuyaingiza kwenye makotena kwa nini wasikamatwe? Nimeuliza maswali hayo magumu yakipata majibu ndio nitaamini miye .
una sifa hautafanya h
 
Mwendazake ametuachia miradi ya maana na kuheshimisha nchi yetu, hao wanaomtuhumu wanapoteza muda tu
Siyo miradi tu, ametuachia mambo mengi tu
Uchawa
Hii trend ya kupotea watu ni kazi yake
Amekuza sana ukabila kama anavyosema DAB
 
Siyo miradi tu, ametuachia mambo mengi tu
Uchawa
Hii trend ya kupotea watu ni kazi yake
Amekuza sana ukabila kama anavyosema DAB
Wewe endelea kujifariji watu wanapotea na kutekwa siku zote!
Upumbavu ni kusingizia kila kitu eti mwanzilishi ni JPM!
Hao akina na Kambona wakati wa Nyerere na Dr Ulimboka wakati wa Kikwete Rais alikuwa Magufuli?
Stupid!
 
Anadai walikuwa “walinzi wa makinikia” wakipewa amri directly na CDF. Labda walikuwa stationed bandarini.
 
Aise! Huenda hata ya akina Lissu,Mkatoriki,MO,GSM,Ruge (the late),nk wanamsingizia!
 
Anadai walikuwa “walinzi wa makinikia” wakipewa amri directly na CDF. Labda walikuwa stationed bandarini.
CDF anafanyaje kazi za IGP na Takukuru? Kulikuwa na uhusiano wa CDF,RC na Ikulu na huo ulijengwa katika misingi. Anayesema si mimi ni Makonda. Ndio maana nimeonya, je anajua 'implications' ya maneno yake!
 
Mabeyo anatajwa mara ya pili kusaidia watu kwenye nafasi fulani.
Jamaa ana upendo sana
 
CDF anafanyaje kazi za IGP na Takukuru? Kulikuwa na uhusiano wa CDF,RC na Ikulu na huo ulijengwa katika misingi. Anayesema si mimi ni Makonda. Ndio maana nimeonya, je anajua 'implications' ya maneno yake!

Ulitaka CDF aruhusu makontena yafunguliwe wajaze magari?
 
Wewe endelea kujifariji watu wanapotea na kutekwa siku zote!
Upumbavu ni kusingizia kila kitu eti mwanzilishi ni JPM!
Hao akina na Kambona wakati wa Nyerere na Dr Ulimboka wakati wa Kikwete Rais alikuwa Magufuli?
Stupid!

Nyumbu hawezi kukujibu hili
 
Hayo magari na matreka yametoka wapi? Yameingizwaje Bandarini? Yameagizwa na nani? Na hao waliotaka kuyaingiza kwenye makotena kwa nini wasikamatwe? Nimeuliza maswali hayo magumu yakipata majibu ndio nitaamini miye .

Unamuuliza nani?
 
Sabaya?
 
Uyu jamaa nwongo sana , Mabeyo hakumwokoa sema alikingiwa kifua na mwendazake ,mfano mwendazake Angesema yafunguliwe Mabeyo Angekataa, ?

Wenda Mabeyo alipewa order na mwendazake yasifunguliwe , ili apate kufuatilia vizuri , uyu jamaa anapenda maneno ili aonekane mwema na anaonewa , ndo maana kwake kulia ili kutimiza malengo yake ni jambo la kawaida.
 

Hayo umeongezea wewe, yeye anachojua ni Mabeyo alizuia makontena yasijazwe matrekta na magari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…