Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Busara inayotumika kusamehe wakwepa kodi ,itumike pia kwenye makontena haya ili walimu wasiendelee kukaa chini na kukalia viti vichafu.

Kama tatizo ni sheria hata mikutano ya vyama vya siasa ipo kikatiba lakini imepigwa marufuku na watu wameelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] Mkuu katika sakata zima la hayo makontena umefafanua vizuri sana kama upo darasani ukifundisha, nadhani wewe ni mwalimu kitaaluma.

Kila mtu mwenye busara zake kashangazwa sana na hiki kioja kilichofanywa na hawa vigogo wa serikali kunyang'anyana fito wakijenga nyumba moja!

Wewe umeuweka sawasawa mwangaza mzima wa sakata hili, kuliko hata waandishi wa habari wanaobabanganya habari hadi zinatuchanganya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wamesamehe Makinikia,hili la makontena ya PmK halishindikani
 
hiyo sio hoja kubwa ya kushindwa kumuelewa Makonda, ye ndo aliomba kwawadau na wakampa huenda tatizo ni jina tu hivyo isiwe sababu ya kupigwa mnada. Dar inashika mkia 4m II na IV na lawama anapata Makonda sio Mpango wala Magu kama sio Ndalich. shule za Dsm zina changamonto nyingi ruzuku HAITOSHI.
 
Kama ilikuwa vifaa vya shule mbona Wizara ya Elimu haikuhusishwa
Acheni kutetea uovu
bashite anacheza michezo michafu mingi tu.Wakati umefika wa kuwekewa speed governor
Enough is enough!
KAHOTELI kake ka ujanjaujanja anakojenga kwa usanii hakana vitanda
 
Yupo sahihi kumu-attack kiongozi mwenzake wa umma hadharani namna hiyo?
Hawana maofosi ya kurekebishana hadi waje kwenye video kumulikwa huku wakikoroma kijazba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaratibu ni kitu kizuri ni afadhali angeshirikisha mamlaka husika yasingetokea haya
tatizo haka kabashite kanajifanya kajuaji sana na haya yote yanatokea ni kwa ajili ya FA FA FA FA.... kangetumia lile jina la kuzaliwa yasingemkuta yote haya.. ila wacha kaumbuke. na sooon namuona sizonje anampumulia muda wowote kadi ya msimbazi itamshukia. stei tyuni!!
 
Wangemwachia na wizara ya Elimu ingesimamia ugawaji wa vifaa hivyo, tunahitaji misaada mingi ya aina hii sasa tukiweka ugumu ktk kuisambaza tutawa discourage wanaotuletea misaada

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
zipo taarifa za chini chini kwamba Mle kwenye makontena kuna hadi vitanda , ni ofisi gani ya mwalimu inayokuwa na kitanda ? ikumbukwe kwamba bilionea makonda ana hotel Mwanza , kuna taarifa kwamba nusu ya mzigo unapelekwa hotelini kwake .

Dr Mpango kastuliwa na wadau .
 
Kwanini makonda asiitishe harambee ipatikane hiyo hela ya kutoa hayo makontena?si alisema ana marafiki matajiri?

Leo hii tunasahau ya kipindi kile kutumia magari ya aliokuwa anawaita wauza madawa ya kulevya?magari mawili BMW X6 na Landcruiser Lexus...yote ya mmiliki mmoja ambaye amemtaja kama muhusika wa madawa ya kulevya?huyu jamaa kuna wengi sana inabidi ajisafishe before hayajaisha...bado kuna ya kuwa nyuma ya ben

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Yake makontena yana samani za nyumba ya Makonda na wazazi wake, ndio maana baada ya TPA na Waziri kujua wameyazuia.
 

Dishi lako limeyumba!! Mtu kasimamia sheria wewe unaleta ndondolela??
 
Kuna jambo nyuma ya pazia linaendelea na si hivi hivi tu.
 
Makonda inawezekana kuna sehemu alikosea katika mchakato huo lakini serikali walitakiwa kuwa wajanja wangeruhusu kwanza vitu viingie ndio waanze kuvimonitor wapate ushahidi wa kutosha ndio waje kumtuhumu."

Si kazi ya waziri wa fedha kufatilia vitu kama vinatumika ipasavyo ama lah. Kazi yake yeye ni mtoza ushuru na ndio anachofanya. Tukizoea kufanya vitu bila kufata taratibu kwa kisingizio cha msaada tutakuwa tunapigwa kila siku. Hivi unajua hata organisation iliyotoa hivo vitu? kweli watoe kontena 36 wasilalamike kwenye TV kisa zimezuiwa bandarini? Tuache kutetea ujinga. Mapato yakishuka mnamsema waziri afanyi kazi, acha tulipe kodi wote.
 
Sidhan kama ukwepaji kodi ni mambo ya ndani ya nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…