Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Mmmmmmmmh
 
Mungu amsamehe hajui atendalo. Akae alee kichanga chake nasikia anmtoto sasa
 
Pole Mzee Makonda, Nchi inaendeshwa kwa taratibu katiba sheria na kanuni. Aliyekufundisha kuvunja sheria akikuruka ujue kufuata sheeria simpo kama kulia wakati wa ibada kwa askofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…