PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Ohooo!!!Wakati ni marafiki zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohooo!!!Wakati ni marafiki zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]apeleke msambwanda wake huko
kwa hivyo nauonea wivu msambwanda wa mh?!.Wivu tu
Bashite unajishtukia tu, ila kitu kimoja ambacho Ridhiwani kikwete kinachomuua na kinaendelea kumuumiza ni zile dk za lala salamaa alizomshawishi mshua kumpa Bashite ukuu wa wilaya ya kinondoni akitegemea atakuwa rafiki yake wa kudumu, sasa yote haya yote yanatokea Ridhiwani kikwete lawama zote zibebe bila wewe huyo dogo angekuwa pale lumumba anasafisha vyoo vya kina Nape.Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda amewatupia dongo wale wote wanaoshinda mtandaoni wakifuatilia kauli na maisha yake kwa ujumla..
Badala ya kulialia hovyo waende kufanya kazi.View attachment 1113747
Acha hizo ndoto weweBashite unajishtukia tu, ila kitu kimoja ambacho Ridhiwani kikwete kinachomuua na kinaendelea kumuumiza ni zile dk za lala salamaa alizomshawishi mshua kumpa Bashite ukuu wa wilaya ya kinondoni akitegemea atakuwa rafiki yake wa kudumu, sasa yote haya yote yanatokea Ridhiwani kikwete lawama zote zibebe bila wewe huyo dogo angekuwa pale lumumba anasafisha vyoo vya kina Nape.
Acha hizo ndoto wewe
Huyo Kama kiswahili chenyewe alipiga Fa simshangai
Maana yake hata maswali ya vitendawili yalimshinda
Haha dah !!! Hiyo tweet reply ya hapo Chini si-mchezoMuwe mnaweka na majibu ya wananchi
View attachment 1114559
Narudia Ridhiwani muombe mungu msaa kwa kitendo ulitufanyia wa Tanzania kwa kulipa pande bwege Fala la kolomije hadi mshua nadhani anajuta.Acha kujipendendekeza Fala.
Hii kitu hatari Sana. Wabongo siyo wa sporti sportiMuwe mnaweka na majibu ya wananchi
View attachment 1114559
Wewe ndie bhashite mwenyewe si eti?[emoji51]Makonda pamoja na mapungufu yake lakini kuna wakati huwa anaongea laivu ukweli au mambo ambayo wabongo wamezoea kuyaongea kwa kujifichaficha ili wasionekane wabaya.